Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,495
- 8,539
Tanzania kuna udini sana!
😅😅Mnaacha kuhubiri neno la Mungu ,mnahubiri ushoga ,miujiza na ugaidi kama kule congo.
SawaChadema na mamnyangau
Sisi nchi yetu ni Tanzania hayo mengine ni yako.Sio ya kikristo basi! 😅😅 shobo kibao ile sio nchi yenu ,kwenu kule vatican hata israel sio kwenu.
Mwenzio anataka kusema ile ni nchi yenu kama vatican 😅Sisi nchi yetu ni Tanzania hayo mengine ni yako.
Sasa wewe unaumia nini?Mnashabikia dini kama simba na yanga
Afrika ni bendera fuata upepo izo dini waachieni walokuja nazo ndo wajuvi zaidi nyie hapa mnatupigia kelele tu
Inasikitisha sana kusikia kauli za namna hii kutoka kwa kiongozi wa CHADEMA (Chama pekee cha upinzania tz kilichosimama imara)Pamoja na mapungufu ya Godbless Lema Lakini angalizo kwa ndugu zake Waislamu limebeba Uzito wake
Utakuta Wanazuoni wa Kiislam walioko magerezani kwa kesi za ugaidi watetezi wao huwa ni Wakristo na wala siyo Waislamu wenzao hali inayopelekea wengine kufungwa na kunyongwa
Kwa maana nyingine Lema amesema si vema Mujahideen kuwa Chawa wa binadam bali muwe Chawa wa Allah
Hata machafuko ya Mwembechai aliyeyazima ni Mgalatia Augustine Mrema rip
Tumvumilie Lema kwa Unabii wake
Sabato njema 😄