Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 16,927
- 13,011
Hawa watu wote wamevuliwa ubunge lakini lema ndo anaonekana sana kwenye kujenga chama. Mbona aeshi hazunguki kujenga chama cha ccm?
mpe polee uli, dah hyo picha it is so sad!Hii post nirarudi kuichangia appropriately baada ya wiki mbili hivi, ngoja kwanza nione Hali ya Ulimboka inaendeleaje?
sijui keshakata rufaa?Aeshi CCM imejaa matajiri wasio na uchungu na wananchi. Kwani Aeshi ni mkombozi?
sijui keshakata rufaa?