Lema na Mbowe wajichanganya

Hivi vyanzo vya habari sina hakika kama viko sahihi. Sijui ni CCM wanajaribu kupotosha umma kuonesha kuwa CDM hawajajipanga. Enewei... Siasa maji taka.
 
Hapa wanaojichanganya ni Lema na Mbowe au polisi na TBC ndo wanaojichanganya? Nadhani polisi na TBC ndo wanajichanganya.
....Ni kweli mkuu awenda....chagonja amezidiwa akili ...amebaki hana la kufanya ni bora asingeende arusha tu...
 
Sasa ch kushangaza hapa ni kipi?
Mbowe alishasema hatawapa police ushahidi.
 

Acha kukurupuka, mleta uzi ndiyo ameandika source ni TBC 1. Unadandia kula pili pili, utakuna mk*nd* mpaka uchoke!

Uwe unaangalia wanaume wanajadili mada gani, c kudandia!
 
TBC hua tunangalia komedi tu,na yenyewe siku hizi inaboa,wazee wetu mikoani siku hizi wanaving'amuzi wanaona tv zote,sio kama zamani TBC only.
 
Samahani wewe unatumia kiungo au ogani gani kufikiri?
Hizi ndizo akili matunda ya serikali sikivu ya CCM.
 
Kamuulize msemaji wenu CP Chagonja, mtuhumiwa anaetaka kupeleleza kesi inayomhusu.
 
Kamuulize msemaji wenu CP Chagonja, mtuhumiwa anaetaka kupeleleza kesi inayomhusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…