Samaki Singa
Senior Member
- Nov 20, 2016
- 191
- 195
Ni wazi kwamba kujiondoa kwa Meya wa Jiji la Arusha, Bw. Kalist Laizer na kujiunga na CCM kuna malengo maalum ya kuizika CHADEMA katika Jiji hilo.
Laizer ameandaliwa na anajipanga kuwa Mbunge mpya wa jimbo hilo mwaka 2020 kupitia chama kubwa CCM. Mwanasiasa sio mwenzio. Chukua tahadhari!
Laizer ameandaliwa na anajipanga kuwa Mbunge mpya wa jimbo hilo mwaka 2020 kupitia chama kubwa CCM. Mwanasiasa sio mwenzio. Chukua tahadhari!