huyu maundumula sijui mavitumbua ukifuatilia vizuri post zake utagundua hajui chochote kwenye siasa za tanzania,anafaa kuwa anacomment kwenye jukwaa la celebrities,.kila siku yumo jukwaa la siasa lakini hajifunzi kitu humu,naona kama huja kupoteza mda na sio kujifunza