Hata asipopiga kampeni atashinda,,,,,Lowasa ndio habari ya Mwanza sasa hivi
Hata asipopiga kampeni atashinda,,,,,Lowasa ndio habari ya Mwanza sasa hivi
Hata asipopiga kampeni atashinda,,,,,Lowasa ndio habari ya Mwanza sasa hivi
Hata asipopiga kampeni atashinda,,,,,Lowasa ndio habari ya Mwanza sasa hivi
Sasa ameanza rasmi kampeni za kutuma spam messages akiomba kupigiwa kura.
inasikitisha hii mitandao yetu kutumika kwenye kampeni na kugawa namba zetu kwa wanasiasa.
Kabla ya tarehe 25 nilipokea message toka kwa Joshua Nassari akiomba kupigiwa kura. Kwa mtazamo wako naye alikuwa 'maji ya shingo'! inawezekana, lakini nina hakika matokeo yake uliyasikia. Kwa hiyo hizo message haimaanishi kuwa ni maji ya shingo. Kama huamini, subiri.Sasa ameanza rasmi kampeni za kutuma spam messages akiomba kupigiwa kura.
inasikitisha hii mitandao yetu kutumika kwenye kampeni na kugawa namba zetu kwa wanasiasa.
Habari ya Mwanza, ila kwenye uchaguzi mwanza hawakufanya makosa, walipiga nyundo ya utosi, paaaaaaah!
Hata asipopiga kampeni atashinda,,,,,Lowasa ndio habari ya Mwanza sasa hivi
Mwisho wa mwezi huu kinaeleweka
Kabla ya tarehe 25 nilipokea message toka kwa Joshua Nassari akiomba kupigiwa kura. Kwa mtazamo wako naye alikuwa 'maji ya shingo'! inawezekana, lakini nina hakika matokeo yake uliyasikia. Kwa hiyo hizo message haimaanishi kuwa ni maji ya shingo. Kama huamini, subiri.
Kama una la kulalamika, walalamikie hao unaodai wamempa yeye namba yako ya simu