Mbunge wa jimbo la arusha mjini mh. G.lema kesho ijumaa anatarajiwa kufanya mkutano mkubwa wa hadhara katika uwanja wa jitegemee mjini muheza ikiwa ni ufunguzi rasmi wa kampeni iliyopewa jina la chadema ni msingi.
Katibu wa cdm kanda ya kaskazini amani golugwa alisema jana kuwa mkoa huu umeteuliwa wa kwanza kufanyika mkutano huo kwa lengo la kampeni hiyo kufika katika ngazi za chini , alikodai wananchi wake wamefunikwa blanketi jeusi na wabunge wa ccm (by burhani yakub , mwananchi)
Katibu wa cdm kanda ya kaskazini amani golugwa alisema jana kuwa mkoa huu umeteuliwa wa kwanza kufanyika mkutano huo kwa lengo la kampeni hiyo kufika katika ngazi za chini , alikodai wananchi wake wamefunikwa blanketi jeusi na wabunge wa ccm (by burhani yakub , mwananchi)