Nadhani ipo haja sasa, mtu anapotoa muda fulani kufanya jambo fulani,aweke wazi kama muda huo ni kwa sayari gani maana wakati mwingine inachanganya. Si mnakumbuka siku tatu alizo kuwa amepewa JK, watu mkadhani ni siku3, kwa mujibu wa saa za duniani! kumbe ilikuwa ni siku 3,kwa mujibu wa saa za Pluto!