Lema: Chagonja haamini kama rais ameshamteua IGP

Lema: Chagonja haamini kama rais ameshamteua IGP

Rio Tinto

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2014
Posts
777
Reaction score
452
Godbles Lema alitamka bungeni kuwa Mkuu wa Operesheni wa Jeshi la Polisi haamini kama Rais Kikwete ameshateua IGP.
 
Godbles Lema alitamka bungeni kuwa Mkuu wa Operesheni wa Jeshi la Polisi haamini kama Raisi Kikwete ameshateua IGP mpya na tutake tusitake this guy is the most powerful person ndani ya jeshi la polisi zaidi ya Mangu....how far true is this theory?

Mkuu acha kutumia hilo jina utafungwa,
 
Chagonja the most powerful ? Kwa roho yake mbaya angekuwa na uwezo huo kuna mwanasiasa angebaki hai nchi hii ?
 
Nyie ndio mnasababisha hata Kama kulikua na mpango wa kumpa hicho cheo mtu asipewe sababu ya midomo yenu sijui mnawashwa nini.
 
Nilitambua kuwa huyu dingi ni pambaff wakati wa mauaji ya mwangosi alisingizia kuwa mwangosi aliuwawa na "kitu chenye ncha kali" kilichorushwa na wafuasi wa chadema... Kesho yake tu magazeti yote yalimuumbua
 
Jamani, Chagonja alikuwa anatekeleza maagizo ya Mkuu wake tu. Anafanikisha maono ya waoooo, Mkimwona mwambieni tumemjua kuwa hiyo ni geresha tu. Mpango mzima ni uchaguzi kuahirishwa
 
Kwa uelewa wa mpangajia wa magogoni unategemea ateue watu wa aina gn
 
Paul Chagonja eti ni IGP! Ernest Mangu ni nani?
 
Nyie ndio mnasababisha hata Kama kulikua na mpango wa kumpa hicho cheo mtu asipewe sababu ya midomo yenu sijui mnawashwa nini.

We Mbwigwa Huyo Kenge Chagonja Ni Baba Yako? Mbona Wewe Ndo Unawashwa Zaidi?
 
Tuhuma zilitolewa juzi juzi hapo bingeni na mbunge wa Arusha mjini ya kuwa kuna baadhi ya maafisa wa ngazi za juu wa Police wanalalamikia uteuzi wa IGP Mangu. Undani wa tuhuma hizo unadai kuwa IGP mangu hakustahili kabisa kuwa na hiyo nafasi; kwanza kwa uwezo wake na pili uzoefu kazini. Makamishna kadhaa wa juu waliotegemea uteuzi huo uwangukie wamekuwa wakipita huku na huku kulalamimika ingawaje hawawezi fanya kitu chochote kwa sasa. Kuhusu uwezo na uzoefu hilo sisi hatujui sana. Anajua mteuzi.

Lakini wimbi la hivi karibuni la ujamabazi na uvamizi wa vituo vya police vinaweza sema chochote kuhusu haya malalamiko???
 
Back
Top Bottom