Tuj
uzane hapa kwetu wanaandika watu katika daftari LA mkazi. Hili daftari lina kurasa 50 na kila kurasa inaandikwa kaya moja kama mpo wengi ktk kaya ni wengi mnaweza kumaliza kurasa kama mbili. Na baada ya kuhji nimeambiwa hayo majina ndo watayachambua ili kupata wapiga kura ambao watawekwa majina yao hapo baadae ktk mbao za matangazo.cha ajabu daftari hili limejaa wakati wengine hatujaandikwa baada ya kuhoji kwa mtendaji anasema daftari ni moja tu wakuu hii imekaaje nitakosa haki ya ngu ya kupiga kura? Maana typo wengi ambao hatujaandikwa tafadhali anayejua vizuri ili na mm nikatoe elimu maana huku sisi upinzani bado lakini kwa sasa vijana wanamwamko wavkuandikwa ili wapige kura(mada ndani ya mada)