GanjaPlanter
Senior Member
- May 27, 2014
- 117
- 119
Mkuu, na chakufurahisha mpaka sasa, chombo kimoja cha kuaminika kinatuabarisha kuwa "TANGAZO TAJWA HAPO JUU LIMESOMWA NA WANA WA ARUSHA WASIOPUNGUA 85%) to kea jana mpaka leo.
uongozi wa arusha hoples kabisa wanasumbuliwa na kajitu kama lema mtu mdogo sana kama piliton
uongozi wa arusha hoples kabisa wanasumbuliwa na kajitu kama lema mtu mdogo sana kama piliton
Ccm wakipata mtaa mmoja Arusha wameiba. Chadema wamejipanga
Hii inanikumbusha hadithi ya CHOPA TATU, KATA TATU.
kweli ni kadogo but ndo chaguo la wana arusha tunawajua kwa kuwaziba watu midomo but mtaziba wangapi?maana wa tz tumechokaje na ufalme huu!vyovyote iwavyo hatuna cha kupoteza!hofu mashaka kwa mahekalu aah basi!mmetunza nje! tena kikatiba!ila mtaweza kuwa miungu?dunia siyo mali yenu kuna siku mtalala,mtasemaje mbele za Mungu?kwa hawa wanaofariki kwa kukosa huduma hospitali ,kwa njaa ,kwa kukosa elimu ?dhuluma!