LEMA ahame chama?

LEMA ahame chama?

Mwambie zzk.cdm wanatoa fursa kwa mtu kuleta mawazo chanya kwa jamii tofati na ccm.
 
Lema ni mtu wa fujo tu. Kama ni mwanaharakati angewaletea maendeleo vijana wa Arusha mjini kwanza badala ya kuingia kwenye mijadala ya kupoteza muda.
 
Mh. Godbless Lema,Mbunge wa Arusha Mjini, ni zaidi ya mwanasiasa. Ni mwanaharakati aliyekamilika. Ni mwanafalsafa na mtu jasiri. He makes the government works through his creative challenges. Ni Che Guevara wetu hapa Tanzania. Sasa,baada ya CHADEMA kuchukua dola 2015,yeye aendelee kuwa humu? Si vyema akahama chama wakati huo na kubaki kuwa mwanaharakati huru na mpambanaji? Tujaribu kutafakari

Sasa kama CHEDEMA wakichukua dola Lema ahame awe mpambanaji apamabane na nani tena, kwa hiyo unataka apambane na serikali yake. Me I havent got your point
 
Lema ni mtu wa fujo tu. Kama ni mwanaharakati angewaletea maendeleo vijana wa Arusha mjini kwanza badala ya kuingia kwenye mijadala ya kupoteza muda.

vijana wa arusha mjini sio watu wa kusubiri maendeleo bali hutafuta maendeleo!
 
Mh. Godbless Lema,Mbunge wa Arusha Mjini, ni zaidi ya mwanasiasa. Ni mwanaharakati aliyekamilika. Ni mwanafalsafa na mtu jasiri. He makes the government works through his creative challenges. Ni Che Guevara wetu hapa Tanzania. Sasa,baada ya CHADEMA kuchukua dola 2015,yeye aendelee kuwa humu? Si vyema akahama chama wakati huo na kubaki kuwa mwanaharakati huru na mpambanaji? Tujaribu kutafakari

masalia mna KAZII NA SANGOMA wenu
 
Ally Kanah inaonekana dhahiri we ni mojawapo wa masalia, thanx LORD dawa yenu inachemka na tutawanywesha ikiwa ya moto. Inaonekana Dr. Slaa anawakosesha usingizi, nyie magamba,mafisadi na wala rushwa mlio kubuhu,mwisho wenu ni 2015, lazima muwe wakimbizi.

Nimecheki hiyo picha ya boss wako,hakuna jipya kwani hata Lyatonga Mrema alibebwa na kushangiliwa sana,jiulize yuko wapi?
Ndugu yangu hatuhitaji kiongozi anaye shabikiwa na watu,bali awe na sifa zifuatazo;
mwadilifu,
mwaminifu,
mtendaji,
asiyekuwa na tamaa ya madaraka,
asiwe mnafiki,
asiwe kigeu geu,
asiwe ndumila kuwili,
asiwe na kibuli.

Wana janvi naomba kuwasilisha.
 
Back
Top Bottom