VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Mh. Godbless Lema,Mbunge wa Arusha Mjini, ni zaidi ya mwanasiasa. Ni mwanaharakati aliyekamilika. Ni mwanafalsafa na mtu jasiri. He makes the government works through his creative challenges. Ni Che Guevara wetu hapa Tanzania. Sasa,baada ya CHADEMA kuchukua dola 2015,yeye aendelee kuwa humu? Si vyema akahama chama wakati huo na kubaki kuwa mwanaharakati huru na mpambanaji? Tujaribu kutafakari