Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,188
Katibu Mkuu wa CHADEMA Mkoa wa Kilimanjaro, Basil Lema akizungumza na Mwananchi amedai kuwa Madiwani na Viongozi wengine wa Chama cha CHADEMA katika Mkoa wa Kilimanjaro, Mikoa mingine na Taifa kwa ujumla, wanamkosa mtu wa kuwasuluhisha tangu kifo cha Philemoni Ndesamburo mwaka jana 2017.
Lema alidai kuwa, enzi za uhai wa Ndesamburo, alikuwa mtu wa tofauti katika siasa na kiuchumi na kwamba kumkosa tu kwa mwaka mmoja, wamevikosa vitu vinne (04) wanavyovililia kwa Sasa. Moja ya vitu hivyo ni kukosa kiongozi anayekaa mbele kuwaonyesha watu waende wapi kama alivyokuwa akifanya Ndesamburo.
Lema alidai kuwa, enzi za uhai wa Ndesamburo, alikuwa mtu wa tofauti katika siasa na kiuchumi na kwamba kumkosa tu kwa mwaka mmoja, wamevikosa vitu vinne (04) wanavyovililia kwa Sasa. Moja ya vitu hivyo ni kukosa kiongozi anayekaa mbele kuwaonyesha watu waende wapi kama alivyokuwa akifanya Ndesamburo.