Mauja
JF-Expert Member
- Oct 2, 2014
- 508
- 275
Ndio yenyewe lkn nimeona season 1 peke yakeNimeona into the badland au we unasemea ipi??
Ndio yenyewe lkn nimeona season 1 peke yakeNimeona into the badland au we unasemea ipi??
Mmmh we ishatoka,mi nimeangalia hadi pale quin anakufa,yule kijana special anachukuliwa na watu anaofanana nao,mke wa quin anarudi kwa baba yake anaomba msamaha na anabatizwa upya,yule jamaa star anakuja kuzinduka anapelekwa mj tofaut na badland huku kamuacha demu wake ana mimba aiiwa bandland ,we umeona mwisho wapiNdio yenyewe lkn nimeona season 1 peke yake
Yaap iyo season 1 tu ndio tumefika sasa uliposema adi 6 nilishangaa kidogoMmmh we ishatoka,mi nimeangalia hadi pale quin anakufa,yule kijana special anachukuliwa na watu anaofanana nao,mke wa quin anarudi kwa baba yake anaomba msamaha na anabatizwa upya,yule jamaa star anakuja kuzinduka anapelekwa mj tofaut na badland huku kamuacha demu wake ana mimba aiiwa bandland ,we umeona mwisho wapi
Ni episode tu ile ziko 6 let's wait adi julyHeeeee jamaniii ina maana hivyo ni vipande tu mbona ndefu sanaa