Legend of the seeker

Ndio yenyewe lkn nimeona season 1 peke yake
Mmmh we ishatoka,mi nimeangalia hadi pale quin anakufa,yule kijana special anachukuliwa na watu anaofanana nao,mke wa quin anarudi kwa baba yake anaomba msamaha na anabatizwa upya,yule jamaa star anakuja kuzinduka anapelekwa mj tofaut na badland huku kamuacha demu wake ana mimba aiiwa bandland ,we umeona mwisho wapi
 
Mmmh we ishatoka,mi nimeangalia hadi pale quin anakufa,yule kijana special anachukuliwa na watu anaofanana nao,mke wa quin anarudi kwa baba yake anaomba msamaha na anabatizwa upya,yule jamaa star anakuja kuzinduka anapelekwa mj tofaut na badland huku kamuacha demu wake ana mimba aiiwa bandland ,we umeona mwisho wapi
Yaap iyo season 1 tu ndio tumefika sasa uliposema adi 6 nilishangaa kidogo
 
Back
Top Bottom