Lebo ya WCB kuchoma gari moto!!?!

Makafara ya mwisho wa mwaka hayo .... na mtakuja kuniambia hapa leo lazima afe mtu au watu pale jangwani see breeze , mungu ninusuru na hizi pesa za mashetani
 
Hilo ni kosa nawashauri waache hiyo kitu kama gar lako tu umekosea ukagonga Nyumba yako tayari ni kosa na je kuchoma gar
 
Kama Kichwa cha habari kinavyojieleza Meneja wa Diamond Sallam Sk Mendez Akihojiwa na XXL Live pale mlimani City alisema wanapanga kupandisha gari Jukwaani na kulipiga kiberiti live watu wakishuhudia siku ya Party ya Wasafi …

Amedai stunt kama hizo zinasaidia kufanya mziki wetu uendelee kuwa gumzo Afrika na kukua zaidi…..
...Ngumu kumeza, hivi hii imekaaje? Kuna wasanii/lebo au kikundi chochote kilichowahi kufanya kufuru kama hiyo jukwaani humu duniani?
WCB Kiboko aisee!!!
Mali za ndagu bwana, utazijua tu! Kila analosema mganga lazima utekeleze - hata kama la kipuuzi kama hili.
 
Hahahahaha ama kweli WCB ni nyoooookoooooo....na imedhihirika wazi kabisa kuwa hakuna timu yoyote ile ya kishabiki hapa Tanzania ambayo haiwafuatilii hawa jamaa...sio timu kiba wala timu nini sijui zooote macho na masikio kwa WCB....Yaan jamaa wakitamka jambo lolote lile lazima liwe gumzo mitandaoni na watu lazima mlifungulie uzi humu...sasa kwa akili za kawaida tu unadhani ilo gari litachomwa kweli???...tunapoelekea naanza kuziona mada za kijinga jinga sana kuhusu WCB..wala sitashangaa nikikuta uzi ''diamond ametoka K*unya now...mara WCB wanalala usiku sana...Domo uwa anakula msosi mwingi"...ndo tunapoelekea huko
 
Wangempa shabiki mmoja ingekuwa vyema zaidi.Kuchoma gari moto ni kufuru na nuksi.
 
Hahahahaha ama kweli WCB ni nyoooookoooooo....na imedhihirika wazi kabisa kuwa hakuna timu yoyote ile ya kishabiki hapa Tanzania ambayo haiwafuatilii hawa jamaa...sio timu kiba wala timu nini sijui zooote macho na masikio kwa WCB....Yaan jamaa wakitamka jambo lolote lile lazima liwe gumzo mitandaoni na watu lazima mlifungulie uzi humu...sasa kwa akili za kawaida tu unadhani ilo gari litachomwa kweli???...tunapoelekea naanza kuziona mada za kijinga jinga sana kuhusu WCB..wala sitashangaa nikikuta uzi ''diamond ametoka K*unya now...mara WCB wanalala usiku sana...Domo uwa anakula msosi mwingi"...ndo tunapoelekea huko
Umeuaa.....
Hapa upande wa king hakuna anayejua leo atakuwa wapi! Wala habari zake hazisikiki kabisa, lengo lao linaweza likawa limetimia kiasi flani katika kutafuta attention..
 
Mara ngap wametoa misaada kwa wasiojiweza? Au kila hela yao inatakiwa iende huko? Je mfano unajua pesa zake zinazid kuwa nying kwa mbinu gan? Je kama hiyo ni moja ya mbinu ya kuleta mara dufu ya ile aliyonunulia gari? Then zikishajiongeza ndio awape hao wasiojiweza? Biashara ni kichwani
Wangetuletea sisi bukoba kwenye tetemeko
 
Back
Top Bottom