#POLEPOLE ‼️TUNA #SERIKALI MBILI🥱 ( A na B ) YAANI INAYO FANYA MAAMUZI Nani awe nani, na INAYOTEKELEZA MAAMZI na kutuletea WANANCHI🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄‼️ #POLEPOLE apewe ulinzi jamani🤔 SERIKALI MNACHO FANYA SI...
UCHAGUZI si upo pale-pale? Mimi nitaenda ku tick (√) Oktoba inaweza ikawa kwa mgombea kutoka chama chochote atakayenishawishi kwa sera. Tahadhari, sitakuwa na wale wanaosema tususe kupiga kura kwa kuwa wanaosusa walikua wanawake wale wa zamani wa usukumani.😂😂😂