middo lulyheart
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 260
- 98
Skiliza mkuu kwa ufupi. Hizo zote ni flat screen zakisasa. ila tofauti ina kuja kwenye picture quality. LCD ( Liquid Crystal Display) ni mfumo wa nyuma kidgo kbla ya LED (Light Emitting Diode). LCD zina aina flani ya picture ambayo haina tofauti sana na hizi screen za zmani za chogo tatizo ni mundo tu ila picture quality zina karibiana japo LCd ina kuwa ipo juu zaidi kuliko chogo. Ila unapo kuja kwenye LED hii ina toa picture quality ya hali ya Juu sana kuliko LCD. Ambazo kwa technology ya sasa tunasema HD (High Defination). Na dhani ukitemeblea maduka ya samsung mengi yanauza LED kwa sasa kana kwamba pale unapo chki hata zile picha we mwenywe una vutiwa na ile screen. Pia hata swala la bei za hizi screen LED zipo juu sana kuliko LCD. ndio hayo tu kwa upeo wangu naweza kukueleza ila pia pitia kwenye forum tofauti kweny internet utapata maelezo zaidi. asanteWana jamvi kama kuna mtaalamu anaye jua tofauti na ubora wa hizi aina mbili za T.V, plz anisaidie
Wana jamvi kama kuna mtaalamu anaye jua tofauti na ubora wa hizi aina mbili za T.V, plz anisaidie
Skiliza mkuu kwa ufupi. Hizo zote ni flat screen zakisasa. ila tofauti ina kuja kwenye picture quality. LCD ( Liquid Crystal Display) ni mfumo wa nyuma kidgo kbla ya LED (Light Emitting Diode). LCD zina aina flani ya picture ambayo haina tofauti sana na hizi screen za zmani za chogo tatizo ni mundo tu ila picture quality zina karibiana japo LCd ina kuwa ipo juu zaidi kuliko chogo. Ila unapo kuja kwenye LED hii ina toa picture quality ya hali ya Juu sana kuliko LCD. Ambazo kwa technology ya sasa tunasema HD (High Defination). Na dhani ukitemeblea maduka ya samsung mengi yanauza LED kwa sasa kana kwamba pale unapo chki hata zile picha we mwenywe una vutiwa na ile screen. Pia hata swala la bei za hizi screen LED zipo juu sana kuliko LCD. ndio hayo tu kwa upeo wangu naweza kukueleza ila pia pitia kwenye forum tofauti kweny internet utapata maelezo zaidi. asante
Mkuu siku katali saaaana koz mimi mwenywe na samsung 14 inchz ina miaka kumi sasa picha ake ni zaidi ya LCD za Sony. ila nakupa changa moto cheki hiyo samsung yako ni series gani? 3, 4 ,5 ,6 ,7 au 8. Hiyo 5 tu ni blaaa picture quality. so try kufanya review kwenye mambo ya series ya toleo ulilo nayo. ila mind kuanzia 5 mpka hiyo 8 ni bla. pia zingatia aina ya input unao tumia kwenye screen yako (receiver, dvd player au pc) hivyo vina changia sana wewe kupata quality sahihi.Mkuu nakupinga sehemu moja tu, hivi tv za kizamani zenge mgongo ukiwa nayo original quality picha yake ni nzuri sana sio lcd wala led inaweza kuifikia, ni mabadiriko tu ya technologia ndo yametupelekea kuhama huku ila kwa upande wa muonekano wa picture quality aisee hizi tv zilizo na mgongo zina picha nzuri sana mimi nilinunua samsung ya mgongo kama miaka 4 iliyopita nimekuja kununua samsung LED ni basi tu prestige kuwa nayo ila ubora wake wa picha haujaniridhisha
Mkuu siku katali saaaana koz mimi mwenywe na samsung 14 inchz ina miaka kumi sasa picha ake ni zaidi ya LCD za Sony. ila nakupa changa moto cheki hiyo samsung yako ni series gani? 3, 4 ,5 ,6 ,7 au 8. Hiyo 5 tu ni blaaa picture quality. so try kufanya review kwenye mambo ya series ya toleo ulilo nayo. ila mind kuanzia 5 mpka hiyo 8 ni bla. pia zingatia aina ya input unao tumia kwenye screen yako (receiver, dvd player au pc) hivyo vina changia sana wewe kupata quality sahihi.
Hapo nakubaliana na wewe mkuu hizi Samsung led inategemea ni series gani huwezi kulinganisha quality ya picha ya 8series au 9series na hizi za chogo vitu viwili tofauti kabisaaaaMkuu siku katali saaaana koz mimi mwenywe na samsung 14 inchz ina miaka kumi sasa picha ake ni zaidi ya LCD za Sony. ila nakupa changa moto cheki hiyo samsung yako ni series gani? 3, 4 ,5 ,6 ,7 au 8. Hiyo 5 tu ni blaaa picture quality. so try kufanya review kwenye mambo ya series ya toleo ulilo nayo. ila mind kuanzia 5 mpka hiyo 8 ni bla. pia zingatia aina ya input unao tumia kwenye screen yako (receiver, dvd player au pc) hivyo vina changia sana wewe kupata quality sahihi.
Umeoooona eeeeh yani ni shida aseeeh una pata kitu quality mbya. kma vipi hata kama una laptop connect afu lete feedback hapakitu cha LED series 5 ukitumia na HDMI CABLE na receiver HD weeeee utamu balaaaaa
vp kuhusu singsung wakuu? na zenyew zpo siries? vp ubora wake kulinganisha na sumsung?
vp kuhusu singsung wakuu? na zenyew zpo siries? vp ubora wake kulinganisha na sumsung?
LCD inatumia back light , kwahiyo inaathiriwa na mwamga bt LED object katika picha ndio inayoa mwanga na hivyo kuwezesha screen ya LED kitoa pocha nzuri hata kwenye mwanga mkali yani outdoor displaySkiliza mkuu kwa ufupi. Hizo zote ni flat screen zakisasa. ila tofauti ina kuja kwenye picture quality. LCD ( Liquid Crystal Display) ni mfumo wa nyuma kidgo kbla ya LED (Light Emitting Diode). LCD zina aina flani ya picture ambayo haina tofauti sana na hizi screen za zmani za chogo tatizo ni mundo tu ila picture quality zina karibiana japo LCd ina kuwa ipo juu zaidi kuliko chogo. Ila unapo kuja kwenye LED hii ina toa picture quality ya hali ya Juu sana kuliko LCD. Ambazo kwa technology ya sasa tunasema HD (High Defination). Na dhani ukitemeblea maduka ya samsung mengi yanauza LED kwa sasa kana kwamba pale unapo chki hata zile picha we mwenywe una vutiwa na ile screen. Pia hata swala la bei za hizi screen LED zipo juu sana kuliko LCD. ndio hayo tu kwa upeo wangu naweza kukueleza ila pia pitia kwenye forum tofauti kweny internet utapata maelezo zaidi. asante
Mkuu nakupinga sehemu moja tu, hivi tv za kizamani zenge mgongo ukiwa nayo original quality picha yake ni nzuri sana sio lcd wala led inaweza kuifikia, ni mabadiriko tu ya technologia ndo yametupelekea kuhama huku ila kwa upande wa muonekano wa picture quality aisee hizi tv zilizo na mgongo zina picha nzuri sana mimi nilinunua samsung ya mgongo kama miaka 4 iliyopita nimekuja kununua samsung LED ni basi tu prestige kuwa nayo ila ubora wake wa picha haujaniridhisha