Lazima upate kinyaaa!

Lazima upate kinyaaa!

Maisha haya unatakiwa kujipanga**

usipotumia hakiri lazima utashika panga**
 
Mkuu ww ni kioo cha jamii nimekukibali ila umeniangusha apo unapokosea kwenye A ukaongezea H
 
Mmmmmmmh

Siwadisi mademu kwa sifa ila najiuliza hivi nao ni bidhaa**?

mbona wanajiunza na wamepata wapi hiyo ridhaa**?

ingawa siwanunui ila nimewaona maeneo kadhaa**?

ndipo lipongundua baada ya kuona jinsi wanavyovaa**?

daah huwa nashagaa najiuliza hivi wanaojiuza nao wanaradhaa**?

je,.? wanagawa mapenzi ili mradi wapate chapaa**?

buguluni, mwananyamara, kariakoo ukipita usiku lazima upate kinyaa**?

hivi serikali na taasisi hamulijui hili au mnasubiri tupate
balaa**?

mmmmh kinga ni bora kuliko..Kuzua balaa**?


kama na wewe unayaona mwana fasihi mwezangu weka hapa ili wapeta kuduaa***?

wakina nan? hawa wakina sayansaa**.

mwana fasihi nafikiri u ndugu yangu toka Shinyanga, huko tushangaapo twaduaa!

Kariakoo nakujua, nielekeze BUGULUNI na MWANANYAMARA nami nipate japo kwa uduchu kuduaa.

vipi hizo bidhaa zipo za kuonjeshwa kwa ridhaa?

Chenji usishau kumrushia mjomba maduhu, japo vocha ya buku.
 
Darasa la 7 wamemaliza mitihani yao, tutakoma sasa kuringaa ..
 
mwana fasihi nafikiri u ndugu yangu toka Shinyanga, huko tushangaapo twaduaa!

Kariakoo nakujua, nielekeze BUGULUNI na MWANANYAMARA nami nipate japo kwa uduchu kuduaa.

vipi hizo bidhaa zipo za kuonjeshwa kwa ridhaa?

Chenji usishau kumrushia mjomba maduhu, japo vocha ya buku.


Joo karikoo mtaa wa mnyamwenzi, hakika utaduaa**

Neenda hospitali mwanyamala, lazima upate kinyaa**
 
Maisha ni kutulia Mwanaaa**
Bila mipango ni balaa**
Ukiiba utachomwa Kitaa**
Hata kama umeiba Kidagaa**
Ukipata utaringaa**
Ukikosa Utaliaa**
 
mbona mnawasema vibaya wanaojiuza, wanaturahisishia sisi tusojua kutongoza,
wa mtaani wana ngoma na yaani namaanisha wameoza,
mi nafurahi huduma nayopata fasta fasta najipoza
sipotezi muda kfikiria mapenzi kuyawaza
baadhi ya watu watashangaa na watasema wananipoteza,
wewe kama mwanaume unatakiwa kujiongeza,


ngoma sipati
 
Back
Top Bottom