hayo ni mambo ya mwilini sana, na kutawaliwa na mila, lakini mie nijuavyo maiti haina kwao
aliye hai ndo anakwao, hivyo ni vijimambo vya kibinadamu tu, wala havina uhusiano na
imani takatifu, kama ujuavyo binadamu kuongozwa na roho wa Mungu tuna 20%
na pengine -0% kabisa hivy kuacha maagizo ya namna hiyo si ajabu.