Hivi utaratibu wa kuingia Law school ni upi? maana tunaona mwenzetu mmoja mtoto wa kigogo (Six) tumemaliza naye Bachelor of Law Tumaini university Iringa, hata kabla majibu hayajatoka tayari mwenzetu yuko Law School!! sasa huu ni utaratibu wa wote au kwa watoto wa vigogo tu? Nauliza swali waungwana.