Last seen ya ONTARIO ni Tarehe 13/01/2018, Je alipatwa na nini huyu kijana?

Baada ya kupiga pesa za mapumbafu anakula neema saivi,yani wabongo tunapenda maisha ya kuletewa mezani mno.Niliacha kazi yenye take hom 880000 nikaingia kulima huku west Kilimanjaro Vijana wenzangu wakaona nimefeli,ndani ya miaka miwili nimefanya matusi Watu Wanasema mimi Freemason
Nahisi na wewe unataka ule kichwa
 
Kwa kweli nikiongelea vijana wenye Ushawishi mkubwa baada ya Yesu na Mtume Mohamed SAW namba 3 kwa Tanzania alikua Ontario kijana alikua anaabudiwa na Kama ukienda tofauti naye basi mabingwa wa Kutumia Keyboard Jamii Forums watakuadhibu hasa tena kwa kuwatukana hata Wazazi wako.


Ontario nikiangalia last seen yake ni taangu 13/01/2018 hajawahi kuja humu ndani kujibu tuhuma za Utapeli anazokabiliwa nao.


Ontario aliweza kuwateka kiakili akina Ruge Mutahaba, Maxence Mello na kundi kubwa la watu lakini amekua adimu mno taangu apige mamilioni ya vijana waliokua wanataka utajiri wa haraka bila kufanya Kazi.


Wenye whereabouts za huyu jamaa watujuze anapatikana wapi? Je TMT bado ipo na inaongozwa na Kina nani? Bila shaka vijana mnao download pesa mtakua na majibu sahihi.
Kwa kumbukumbu zangu zinavyonituma "alikusaidia" hadi wewe kuijua forex, kama sio yeye usingekaa uijue pamoja na ka degree kako ka uhasibu...
 
KWAKO WEWE SIO KWA WOTE MKUU NA NDIO MAANA UKASEMA UNGEWEZA KUPATA MADINI......
HII INAONYESHA UWEZOWAKO WEWE WAKUFIKILIA NA HAUAKISI UHALISIA WA JAMII HII YA JF KUHUSU HUYO BWANA NA HADITHI ZAKE ZA ALINICHA...
NOTE: PESA HAIPATIKANI KWA NJIA ZA MKATO HATA KIDOGO....KULA ULIWE
Lete statement even single statement ambayo ONTARIO alisema pesa inapatikana kirahisi.

Small mind.
 
Mkuu umeandika nini cha maana toka ujiunge na JF then mimi mbona sijazubgumzia hiyo forex hata kidogo, na kwanini kila ukiona ONTARIO ubongo wako utafsiri forex tu.

Small mind.
Kuandika ndio nn ww, hapa tunazungumzia utapeli!
 
Mkuu mbona unaipenda Forex, sizungumzii forex hapa au angalia post ya Upepo wa pesa hapo juu ndio utajua Great mind ninaowazungumzia.

Wewe forex tu vipi wewe.
We jamaa bana kwa jyo tusahau alivyobia watu kwenye forex, sababu tu kuna posts aliziweka za ujasiriamali? Huwez mtenganisha ontario na forex, hayo mengine ya ujasiriamali ni mbwembwe
 
Back
Top Bottom