Jinga lao angalia hapa anti- finance bill ya 2024 June Larry akiripoti live kutoka viunga vya bunge na casualities zilizotokea angalia alishughulika nazo vipi kwa kuangalia hii thread.
Pia katika maadhamisho ya June 25, 2025 mwaka mmoja baada ya yale maandamano makubwa kuwahi kutokea alirudi Kenya kuripoti tena.
Hapa ni akiwa kwao Kenya sasa sijui utasema napo alikua anaichafua Kenya?
Kwa Kenya Larry alifanya mahojiano hadi na walionusurika kitu ambacho Tanzania miili iliishia kutupwa katika kaburi la halaiki na walionusurika walimaliziwa kikatili.
View: https://x.com/i/status/1807809386569511194