Laptop yangu imeibiwa nimechanganyikiwa kabisa

Laptop yangu imeibiwa nimechanganyikiwa kabisa

Mugo wa kibilo

Senior Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
175
Reaction score
72
Laptop yangu min imeibwa.nimechanganyikiwa kabisa kupoteza kumbukumbu zangu nyingi sana.
Msaada kwa wataalam plz.
 
Pole mkuu, acha kuchanganyikiwa tafuta solution.
 
Pole mkuu, siku nyingine kuwa makini watu wanatafuta grisi.
 
Ndio mwisho wake kufa au kuibiwa au ukitaka watumie mpaka wajukuu zako,pole sana
 
Ndio maana nashauri kila mwenye PC awe na external hard disc hii itakusaidia kuhifadhi documents zako zote muhimu,endapo laptop ikiibiwa ai kuharibika huna haja ya kulia kama mbwa koko!!
Any way pole,ndio nchi ya viwanda,huenda aliyekuibia naye kaenda kufungua kiwanda chake.!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom