Laptop ipi itanifaa kati ya hizi ?

Laptop ipi itanifaa kati ya hizi ?

...nunua kama yangu jombaaa, iko poa sana....
 
samahan mkuu,katika hizo laptop ulizotumia hapo juu,ipi kati ya hizo ulienjoy vya kutosha.. i mean performance, battery kutunza chaji,umadhubuti n.k,, i will really appreciate to hear from u.

Acer; niliitumia kwa muda mrefu sana, cheap, sikuwahi kupata shida za joto. kwasasa ipo ila battery yake imekufa (bila umeme inakaa dakika 5 tu. mwanzoni ilikuwa inakaa mpaka masaa matatu)

Samsung; ilikuwa nzuri sana. Nilimpa ndugu yangu aendelee kuitumia.

Lenovo; its superb!
 
Acer; niliitumia kwa muda mrefu sana, cheap, sikuwahi kupata shida za joto. kwasasa ipo ila battery yake imekufa (bila umeme inakaa dakika 5 tu. mwanzoni ilikuwa inakaa mpaka masaa matatu)

Samsung; ilikuwa nzuri sana. Nilimpa ndugu yangu aendelee kuitumia.

Lenovo; its superb!

ok thanks,nitajaribu lenovo na mm.
 
ok thanks,nitajaribu lenovo na mm.

kipenda roho ndugu yangu. mie nimeipenda Lenovo. wewe unaweza kuwa na mtazamo tofauti. nakushauri kwanza uangalie "review video" za Lenovo na PC zingine kwenye youtube. mwisho wa siku uamue sasa.

hata kwenye simu; nilifanya review sana juu ya Samsung, iphones na windows phone. sasa nimeshawishika kulingana na review kununua simu Fulani.
 
Nimekusoma kaka...it's number of threads not procs.....
 
Mimi nadhani ni majina tu. Binafsi sipendi Dell. Nimetumia Acer, Samsung na sasa Lenovo. Nikiachana na Lenovo ninampango wa kununua Toshiba! Ni utashi tu.

Barasu naomba uniuzie hiyo lenovo yako kama inawezekana.
 
Last edited by a moderator:
Habari wana jukwaa, Leo nilikwenda town (city center) kununua new brand laptop. Baada ya kupitia maduka kadhaa kuna brand kama 4 hivi nimevutiwa nazo japo specifications zake zinafanana lakini zimatofautiana bei, nikaamua nisitishe zoezi kwanza ili nipate ushauri. Brand nilizopata ni Dell 3521, processor, INTEL CORE i3 ambayo bei yake ni 635,000, Hp 2000 INTEL CORE bei yake ni 510,000, Accer E1-531, INTEL DUAL CORE, bei yake ni 515,000, na Lenovo G500 INTEL CELERON, bei yake ni 520,000. Specifications zake nyingine zinafanana: screen ni 15.6", Ram 2 gb hdd 500 gb. Naombeni ushauri nichukue ipi ambayo haina usumbufu.

Usumbufu hauna Guarantee. Nadhani Usipochukua kabisa ndio nna uhakika 100% hutapata usumbufu
 
  • Thanks
Reactions: UTC
Hiyo iliyo kufa battery unaiuza? na Specs zake zikoje?

Acer Aspire 4520, 14 inches, AMD CPU@2.1GHz, RAM 2 GB, HDD 160 GB, NVIDIA GEFORCE.

Kuna mtu anaitumia hivyo hivyo kama desktop PC!
 

Attachments

  • Acer Aspire 4520.png
    Acer Aspire 4520.png
    12.7 KB · Views: 356
Corrections
Duo Core = 2processors, 1 Thread per processor = 2 threads at time
Core i3 = 2 processors, 2 threads at a time = 4 threads at a time
Core i5 = 2 processor, 2threads at time (hyperthreading) or just Quadcore with turbo boost = 4threads at a time
Core i7 = 4 Cores, hyperthreading and turbo boost = 8 threads at a time

So most of times i5 and i3 have same number of processor cores.


Thanks to Stefano Mtangoo
Hii mada ni ya kitambo lakini sitosita kuchangia.

maelezo hayo hapo juu ndio ya ukweli kabisa kuhusu number of core's wengi wanadhani i3 ina 4 cores lakini sio kweli, i3 ni dual core lakini inasupport hyperthreading (up to 4threads).

celeron processors ndio weak processors ila zina advantage ya kutumia power ndogo (ku save battery) lakini overall perfomance ni mbaya, kutokana na kwamba imenyimwa features kibao za muhimu kama vile L1/L2 ni ndogo sana almost 32KB (average) pia haisupport multithreading pamoja na other instructions.

i5 ni processor nzuri ila power consumption iko juu kutokana na uwezo wake, pia huwa zinasupport multithreading pamoja na Turbo BOOST technology, yaani inaweza ku perfom zaidi ya uwezo wake kwa asilimia kadhaa, mfano CPU yenye 2.3Ghz ina uwezo wa kujiBoost hadi 3Ghz
 
Last edited by a moderator:
Nunua Apple!

Mkuu hapo sasa bajeti ndio ishu... mimi binafsi naogopa apple kutokana si tu kwaajili ya bei bali hata programs availability, ingawa unaweza kuweka OS ya windows kwenye apple lakini unapoteza ule utamu wa apple...
 
Nunua Dell kwa sababu tu ni core i3. kama utapata HP core i3...that would be my preference!
I don't like Dells and don't ask me why 🙂
Baada ya kutumia Dell kwa mwaka mmoja, sina hamu nayo tena! Mbaya zaidi natembelea Dell Community Page nakuta tatizo langu na issue ya wateja wengi, hapo hapo nika-conclude kwangu haikuwa bahati mbaya but the problem with Dell is there!!!
 
Nunua Apple!

Mkuu hapo sasa bajeti ndio ishu... mimi binafsi naogopa apple kutokana si tu kwaajili ya bei bali hata programs availability, ingawa unaweza kuweka OS ya windows kwenye apple lakini unapoteza ule utamu wa apple...
 
Back
Top Bottom