Laptop inauzwa 220,000/=

Mara tumpe mdogo wako...mara mtoto wako ataishangaa..which is which..kwa ushauri tu mimi sio dogo wala hii laptop sio mbovu. Kwa wenye experience na hizi laptop wanajua umuhimu wake unapofanya kazi nje ya ofisn kwenye jua kali, site na mazingira korofi zinavyostahimil mazingira ya outdoor. Watu wa site wanazipenda kwa sabab ni cheap na durable. Ila ngoja nikuache maana you seem young and naive.
Tangazo lako linaonesha Battery inakaa 30 minutes, halafu unadai ina umuhimu unapokuwa nje ya ofisi!!! πŸ˜‚ πŸ˜‚ you can't be serious!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ naona mna Mbagaza muuza laptop!

Ila mkuu tuongee ukweli hiyo laptop hapana aisee nakumbuka kipindi hicho chuo watu ndo walikuwa wanawapiga first year!
 
ha ha ha ha yaani bro kama una mtotot mpe ya mazoezi tu hiyo kwakweli
yaani hapo hataa hauwezi uza hapa
labda urudi kijijini tu aiseeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom