Hivi mnadhani laptop bado ni vitu vya thamani kiasi hicho?Duhh sio kwa kushambuliwa huku....watu mna hasira.
Noma sana. Naona watu wametapika sana, hawawezi kupita kimya kimyaDuhh sio kwa kushambuliwa huku....watu mna hasira.
Hatar sana. Sijui wanakwama wapi. Maana si lazima eti. Kama mtu hayuko interested Ni bora apite kimya. hamna kisichouzika wala hakuna kisicho na thamani. its a choice sio lazima.Ni free world . Free marketNoma sana. Naona watu wametapika sana, hawawezi kupita kimya kimya
Dogo punguza hasira na mi sikupangii matumizi bali nakupa ushauri kutokana hii tasnia ya izo vituMan unanipangia matumizi ya laptop yangu...who am i to you..if you are not interested si bora kama ulivyocomment then unapita kimya. Andika chochote kile unachojiskia kuandika ila usinidirect nini cha kufanya
upo serious kweli au joking tuLaptop inauzwa:
Aina: Dell latitude D610
HDD: 250 GB
Ram: 2GB
Windows 7
DVD/CD/RW capacity
Battery duration: 30 minutes
Location: Dar
Price: 220,000 Tsh
Mara tumpe mdogo wako...mara mtoto wako ataishangaa..which is which..kwa ushauri tu mimi sio dogo wala hii laptop sio mbovu. Kwa wenye experience na hizi laptop wanajua umuhimu wake unapofanya kazi nje ya ofisn kwenye jua kali, site na mazingira korofi zinavyostahimil mazingira ya outdoor. Watu wa site wanazipenda kwa sabab ni cheap na durable. Ila ngoja nikuache maana you seem young and naive.Dogo punguza hasira na mi sikupangii matumizi bali nakupa ushauri kutokana hii tasnia ya izo vitu
Ni utaratibu ambao hakuna aliyeupanga bali mara nyingi vitu ambavyo vimepitwa na wakati au ambavyo hauna matumizi nayo kuwapa wadogo zako ambao hawana uwezo wa kununua
Mimi nmekuwa nikiwapa wadogo zangu kwa miaka mingi kama ambavyo Mimi nilikuwa napewa
Kuliko kuja hapa kuuza hiyo screpa ambayo hata mtoto wangu wa miaka 4 ukimpa anashangaa
Sent using Jamii Forums mobile app