Kaisari
JF-Expert Member
- Nov 13, 2012
- 3,636
- 3,045
Walau kidogo unatoa mwanga kwa dr. Ili utibiwe.Mkuu ahsante sana kwa mchango wako, laptop inapokua ipo off ukichomeka waya wa kucharge(adapter) lazima kuna kitaa kimoja cha kuonyesha unacharg kitawaka. Sasa kwangu kitawaka lkn baada ya dk 2 kinazima.
Laptop nilichukua dukani mpya kabisa mkuu na haikua na shida yoyote kuna jamaa huwa namwazimisha mara moja moja labda ilipata shida akiwa nayo na akasita kuniambia. Lkn imeanza hilo tatizo ikiwa mikononi kwangu.
Sent using Jamii Forums mobile app