Laptop inajizima yenyewe.

Laptop inajizima yenyewe.

maheda0756

Senior Member
Joined
Oct 27, 2016
Posts
107
Reaction score
156
Wakuu poleni kwa Majukum nina laptop yangu ASUS. Hii machine inajizima yenyewe baada ya kuwaka. Isipojizima ukijaribu kuitingisha au kupiga juu ya keyboard kwa kishindo inajizima. Uki-connect charge bila kuzima ile taa ya kuonyesha kuchaji inawaka baada ya sec kadhaa inajizima. Wajuzi wa hizi kazi tusaidiane nn cha kufanya. Nipo Kilimanjaro kikazi ata sijui fundi mzuri nitampata wapi ahsanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu poleni kwa Majukum nina laptop yangu ASUS. Hii machine inajizima yenyewe baada ya kuwaka. Isipojizima ukijaribu kuitingisha au kupiga juu ya keyboard kwa kishindo inajizima. Uki-connect charge bila kuzima ile taa ya kuonyesha kuchaji inawaka baada ya sec kadhaa inajizima. Wajuzi wa hizi kazi tusaidiane nn cha kufanya. Nipo Kilimanjaro kikazi ata sijui fundi mzuri nitampata wapi ahsanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijakuelewa unaposema uki connect charge bila kuzima ile taa ya kuonyesha ku charge.
Ninavyo fahamu laptop ukiconnect charge taa inawaka kuonyesha sasa we unaizima vipi?
Halafu hili suala lazima uweke details.
Je ulinunua kwa mtu au dukani?
Je toka ulipoanza tumia ni baada ya tukio gani ikawa inafanya hivyo either ilianguka chini au?
Je kuna message yeyote inayotoa kabla haija shut down?

Lazima utoe much details ukizingatia mtaalam hana hiko kifaa mkononi.
Ahsante.
 
Wakuu poleni kwa Majukum nina laptop yangu ASUS. Hii machine inajizima yenyewe baada ya kuwaka. Isipojizima ukijaribu kuitingisha au kupiga juu ya keyboard kwa kishindo inajizima. Uki-connect charge bila kuzima ile taa ya kuonyesha kuchaji inawaka baada ya sec kadhaa inajizima. Wajuzi wa hizi kazi tusaidiane nn cha kufanya. Nipo Kilimanjaro kikazi ata sijui fundi mzuri nitampata wapi ahsanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Makisio.
Inawezekana cooling system imeshindwa kufanya kazi namaanisha fan yake haizunguki hivyo hupelekea laptop automatically kujizima tatizo hili utaona unapotumia laptop yako kwa muda inachemka sana lakini fan ukiisikiliza haizunguki au kwenye yale matundu ya kutoa upepo hauhisi upepo ukitoka pia tatizo hili muda mchache kabla haijazima utaona inatoa message.

Either ni charger unayotumia si sahihi.

Au RAM ndio tatizo mara nyingi inatoa mlio wa ku beep.
Kwa kuwa umesema ukiitingisha inazima inawezeka battery na terminal zake hazishikani vizuri na kuzima.
 
Wakuu poleni kwa Majukum nina laptop yangu ASUS. Hii machine inajizima yenyewe baada ya kuwaka. Isipojizima ukijaribu kuitingisha au kupiga juu ya keyboard kwa kishindo inajizima. Uki-connect charge bila kuzima ile taa ya kuonyesha kuchaji inawaka baada ya sec kadhaa inajizima. Wajuzi wa hizi kazi tusaidiane nn cha kufanya. Nipo Kilimanjaro kikazi ata sijui fundi mzuri nitampata wapi ahsanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikitika kukupa ukweli mchungu kuwa hio mashine ishakaanga motherboard na inapiga short circuit
 
Sijakuelewa unaposema uki connect charge bila kuzima ile taa ya kuonyesha ku charge.
Ninavyo fahamu laptop ukiconnect charge taa inawaka kuonyesha sasa we unaizima vipi?
Halafu hili suala lazima uweke details.
Je ulinunua kwa mtu au dukani?
Je toka ulipoanza tumia ni baada ya tukio gani ikawa inafanya hivyo either ilianguka chini au?
Je kuna message yeyote inayotoa kabla haija shut down?

Lazima utoe much details ukizingatia mtaalam hana hiko kifaa mkononi.
Ahsante.
Mkuu ahsante sana kwa mchango wako, laptop inapokua ipo off ukichomeka waya wa kucharge(adapter) lazima kuna kitaa kimoja cha kuonyesha unacharg kitawaka. Sasa kwangu kitawaka lkn baada ya dk 2 kinazima.

Laptop nilichukua dukani mpya kabisa mkuu na haikua na shida yoyote kuna jamaa huwa namwazimisha mara moja moja labda ilipata shida akiwa nayo na akasita kuniambia. Lkn imeanza hilo tatizo ikiwa mikononi kwangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makisio.
Inawezekana cooling system imeshindwa kufanya kazi namaanisha fan yake haizunguki hivyo hupelekea laptop automatically kujizima tatizo hili utaona unapotumia laptop yako kwa muda inachemka sana lakini fan ukiisikiliza haizunguki au kwenye yale matundu ya kutoa upepo hauhisi upepo ukitoka pia tatizo hili muda mchache kabla haijazima utaona inatoa message.

Either ni charger unayotumia si sahihi.

Au RAM ndio tatizo mara nyingi inatoa mlio wa ku beep.
Kwa kuwa umesema ukiitingisha inazima inawezeka battery na terminal zake hazishikani vizuri na kuzima.
Hii charger niliinunua pamoja na laptop mkuu na nimeitumia kwa miaka miwili.
Machine ikitaka kuzima hakuna ujumbe wowote unatoke.

Swala la feni kuwaka ngoja nikirudi ghetto nisikilizie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante kwa mchango wako boss samahani lkn unaweza kunijuza sababu zinazopelekea kuunguza motherboard?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sababu huwa hazielewekagi but nina cases kama tatu mpaka sasa, ila tatizo huwa nahisi laptops za kuagiza nje ambazo ni European/American versions zinasumbua sana kwa mazingira ya huku kwetu nikimaanisha hali ya hewa huwa linachangia kwa kiasi kikubwa na pia flactuation ya umeme.

1. Niliagiza sony vaio S series laptop ikaja kaa kwa miezi 5 tu ikawa imekaanga motherboard. Inasumbua kuwaka mara haiwaki au inachelewa sana. Ishu ilikuwa hio hapo.

2. Nikaja agiza dell 7500u best buy, nayo haikuchukua hata week mbili. Nmekaa na upgrade kwenda windows 10 ikazima.

3. Toshiba juzi tu kuna shemeji yangu amekuja oa anaishi US. Amenletea hio computer nayo imezima wakati najaribu kufanya upgrades.

Cha ajabu nilinunuaga acer brand new kariakoo nilikaaga nayo sana wala haikuwahi kunisumbua mpaka nikauza baada ya kukaa nayo miaka mitatu + , Tunadharugi vitu mkuu ila never buy laptop computer ambazo ni refurbished toka nje ama brand new umeme wa huku utazimaliza. Unless uwe na power surge
 
Sababu huwa hazielewekagi but nina cases kama tatu mpaka sasa, ila tatizo huwa nahisi laptops za kuagiza nje ambazo ni European/American versions zinasumbua sana kwa mazingira ya huku kwetu nikimaanisha hali ya hewa huwa linachangia kwa kiasi kikubwa na pia flactuation ya umeme.

1. Niliagiza sony vaio S series laptop ikaja kaa kwa miezi 5 tu ikawa imekaanga motherboard. Inasumbua kuwaka mara haiwaki au inachelewa sana. Ishu ilikuwa hio hapo.

2. Nikaja agiza dell 7500u best buy, nayo haikuchukua hata week mbili. Nmekaa na upgrade kwenda windows 10 ikazima.

3. Toshiba juzi tu kuna shemeji yangu amekuja oa anaishi US. Amenletea hio computer nayo imezima wakati najaribu kufanya upgrades.

Cha ajabu nilinunuaga acer brand new kariakoo nilikaaga nayo sana wala haikuwahi kunisumbua mpaka nikauza baada ya kukaa nayo miaka mitatu + , Tunadharugi vitu mkuu ila never buy laptop computer ambazo ni refurbished toka nje ama brand new umeme wa huku utazimaliza. Unless uwe na power surge
Asante mkuu sasa hii hakuna namna nyingine ya kufanya ili ipone?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu poleni kwa Majukum nina laptop yangu ASUS. Hii machine inajizima yenyewe baada ya kuwaka. Isipojizima ukijaribu kuitingisha au kupiga juu ya keyboard kwa kishindo inajizima. Uki-connect charge bila kuzima ile taa ya kuonyesha kuchaji inawaka baada ya sec kadhaa inajizima. Wajuzi wa hizi kazi tusaidiane nn cha kufanya. Nipo Kilimanjaro kikazi ata sijui fundi mzuri nitampata wapi ahsanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu poleni kwa Majukum nina laptop yangu ASUS. Hii machine inajizima yenyewe baada ya kuwaka. Isipojizima ukijaribu kuitingisha au kupiga juu ya keyboard kwa kishindo inajizima. Uki-connect charge bila kuzima ile taa ya kuonyesha kuchaji inawaka baada ya sec kadhaa inajizima. Wajuzi wa hizi kazi tusaidiane nn cha kufanya. Nipo Kilimanjaro kikazi ata sijui fundi mzuri nitampata wapi ahsanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
pole xana
1. nakushauri umpelekee fundi aifungue then aisafishe vizur kwa benzene au chemical yoyote ya kusafishia hasa eneo la procesor & fen
2. ikishindikana kwa njia hyo basi motherboard itakua na short aitafute na kuifix
 
Makisio.
Inawezekana cooling system imeshindwa kufanya kazi namaanisha fan yake haizunguki hivyo hupelekea laptop automatically kujizima tatizo hili utaona unapotumia laptop yako kwa muda inachemka sana lakini fan ukiisikiliza haizunguki au kwenye yale matundu ya kutoa upepo hauhisi upepo ukitoka pia tatizo hili muda mchache kabla haijazima utaona inatoa message.

Either ni charger unayotumia si sahihi.

Au RAM ndio tatizo mara nyingi inatoa mlio wa ku beep.
Kwa kuwa umesema ukiitingisha inazima inawezeka battery na terminal zake hazishikani vizuri na kuzima.

pole xana
1. nakushauri umpelekee fundi aifungue then aisafishe vizur kwa benzene au chemical yoyote ya kusafishia hasa eneo la procesor & fen
2. ikishindikana kwa njia hyo basi motherboard itakua na short aitafute na kuifix
Aiseee hii Pc naona Feni yake haizunguki kabisa, nifanyeje wakubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee hii Pc naona Feni yake haizunguki kabisa, nifanyeje wakubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapo ni kuchunguza
Either fan imekufa.
Terminal za fan zimechimoka.
Pia processor itakuwa imekaukiwa na fluid (heat sink fluid)
Sasa mkuu jaribu kumpa fundi aipime cause hardware za pc zinahitaji uwe makini sana.
 
dah! mi mwenyewe yangu inafanyaga hivyo hivyo..ila feni inazunguka kama kawa na huwa sio mara kwa mara. inaweza kaa hata wiki bila kujizima hata mara moja
 
dah! mi mwenyewe yangu inafanyaga hivyo hivyo..ila feni inazunguka kama kawa na huwa sio mara kwa mara. inaweza kaa hata wiki bila kujizima hata mara moja
Itakapo zima itazima jumla, fanya backup, mapema na umwone daktari wake.
 
Wakuu poleni kwa Majukum nina laptop yangu ASUS. Hii machine inajizima yenyewe baada ya kuwaka. Isipojizima ukijaribu kuitingisha au kupiga juu ya keyboard kwa kishindo inajizima. Uki-connect charge bila kuzima ile taa ya kuonyesha kuchaji inawaka baada ya sec kadhaa inajizima. Wajuzi wa hizi kazi tusaidiane nn cha kufanya. Nipo Kilimanjaro kikazi ata sijui fundi mzuri nitampata wapi ahsanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nipe namba yako nikupe kijana akurekebishie.
 
Back
Top Bottom