Laptop inahitajika

Laptop inahitajika

ukabu

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2011
Posts
212
Reaction score
68
Kwa mwenye laptop coi 5 au coi 3 ram 8 au nne aje whatup namba 0759212578 shart awe dar
 
Sisi watanzania sijui tuna matatizo gani, wewe IPO dar pc kibao za uhakika kuliko kununua kwa mtu hujui ina tatizo gani hata kama itakua bei rahisi lakn haitadumu, kanunue dukani hata kama ni used utapewa warrant ya hata miez 3 kutokana na bei ya PC, ikipata hitilafu unaweza badilshiwa
 
Mimi nilinunua PC used lak 2.5 DEC 2012 mpaka Leo ninayo nimeiformat Mara 3, yule muhindi aliniambia nisi Basibashe window wala ram, ni dell latitude 4200 kama sijasahau, nimenunua nyingine mpya kwa aibu lakn bado Ipo vizur mpaka ajabu
 
fika mtaa wa uhuru+nyamwezi, kuna maduka kibao pale, used + new , ushindwe wewe tu, achana na vya mikononi!
 
Mimi nilinunua PC used lak 2.5 DEC 2018 mpaka Leo ninayo nimeiformat Mara 3, yule muhindi aliniambia nisi Basibashe window wala ram, ni dell latitude 4200 kama sijasahau, nimenunua nyingine mpya kwa aibu lakn bado Ipo vizur mpaka ajabu
mmmhh 2018!![emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom