Laptop haiboot kabisa

Laptop haiboot kabisa

ng'wanishi

Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
34
Reaction score
1
Ni dell laptop n5010 Inspiron, mara ya mwisho nimeiforce kuizima kwa kuhold start button. Baada ya hapo haitaki kuwaka. Msaada bandungu.
 
Peleka kwa fundi baba. Sasa ww utaiforce vp kuzima kwa huld start button wakati kuna process za kufuata.
 
ukiwasha inaleta error yoyote? na kwa nini uli i force kuzima...nini kilitokea?
 
unplug kila kitu, ondoa mpaka betri halafu re-plug in vyote upya na uiwashe tena. ilikuwaje ukaiforce hivyo? au ulidhani ni katapila hiyo pc?
 
Back
Top Bottom