Laptop display imegoma

Laptop display imegoma

Sizinga

Platinum Member
Joined
Oct 30, 2007
Posts
9,542
Reaction score
7,377
Duh hili tatizo sijawahi kulioana ndio kwanza mara ya kwanza kunitokea. Yaani ni kama zile taa zinazoleta mwana kuona kwenye screen ya laptop zimezimika, kwa hiyo mpaka nichungulie sana ndipo naona icon na maneno, sasa sijui nitaziwasha vp hizo taa za pepmbeni. Button ya mwanga nimeongeza hadi mwisho lakini lap ina giza bado. AU ndo kusema display imekufa?? Hembu mwenye kujua anipe ushauri how to proceed coz inaninyima raha sana.
My Regard


mc.gif
 
Jaribu kubadilisha RAM, hata mimi nilikuwa natatizo kama la kwako nikabadilisha RAM mambo yakawa poa.

 
kuna kibutton pembeni kwenye maungio ya screen ya laptop kinafanya laptop screen izimike wakati ukifunga lid,jaribu kukiangalia kinaweza kikawa kimedumbukia ndani .
 
Jaribu kubadilisha RAM, hata mimi nilikuwa natatizo kama la kwako nikabadilisha RAM mambo yakawa poa.


mhh!
@sinziga ..hebu jaribu kuunga external monitor alafu washa, kama itaonyesha vzr basi tatizo lipo kwenye display inabidi kubadili
 
Ni PC ya brand gani?
Wakati mwingine huwa inahitaki kurekebisha kidogo settings kwenye BIOS na mambo yanakuwa sawa.
Kama uko Dar fika Orange, wanarekebisha such problems kwa sh. elfu 50.
 
Kama unafanikiwa.kwa mbali kuona icons,then tube light ktk display imeungua,au invetory yake imekufa.ni PM nikupe namba ya fundi ambaye atakutengenezea hiyo display
 
Leo Doctor kapatwa na mafua!
Pole sana ndugu yangu Sinzinga, mimi nimepita tu kidogo kukujulia hali!
Maana haya mambo yenu ya IT na mimi mbali mbali.

Good luck bro.
 
Back
Top Bottom