kaka kama ujaitwa chuna,wenzio washaita na tuna ushahid we kama ulichemka ile pepa acha kelele....na endelea kusema bado hawajaita vivyo ivyo ila ipo siku tutakuletea ushuhuda wa watu kuitwa kazini humu ndani
Mimi wamenipigia jana saa 10 wakaniambia pia sikufanikiwa, wako vizuri sana hawa jamaa angalau mtu wajua mustakabali wako mapema kuliko kubaki hujui kinachoendelea
Mimi wamenipigia jana saa 10 wakaniambia pia sikufanikiwa, wako vizuri sana hawa jamaa angalau mtu wajua mustakabali wako mapema kuliko kubaki hujui kinachoendelea
Kaka walioitwa oral pale ni 40 kwa hii post HR wao kaongea mbona na paneli ilikua moja tu then kidizaini flan wako smart coz wanazo zile papers na pasport size wanakucheck kwny picha then wanakuita una ingia ndani unapiga oral interview!
Kaka walioitwa oral pale ni 40 kwa hii post HR wao kaongea mbona na paneli ilikua moja tu then kidizaini flan wako smart coz wanazo zile papers na pasport size wanakucheck kwny picha then wanakuita una ingia ndani unapiga oral interview!