LAPF waanza kuita watu kwenye interview

accountant post tulikuwa sabini na ilikuwa ni CPA(T). afu tofautisha kati ta kusaka ajira na kusaka maslahi zaidi
lUnajua kwanini unasaka maslahi zaidi,sababu CPAs tumekuwa wengi kwahiyo tunalipwa pesa kidogo tofauti na zamani, law of demands and supply,sasahivi kuna watu wengi tu wana kazi za kawaida saana mfano bank tellers ambao ni CPAs
holders tena CPAs zao ni muda tu wanasaka ajira na wengine hawana kazi kabisa
 

experience na cpa ndio deal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…