Habari!
Nakumbuka zilitangazwa kazi kati ya mwezi machi na wa nne mwaka huu! yeyote aliye na taarifa za interview naomba atujuze..
Habari!
Nakumbuka zilitangazwa kazi kati ya mwezi machi na wa nne mwaka huu! yeyote aliye na taarifa za interview naomba atujuze..
Vp PPF nao hawajaanza kuita watu kwny interview ya pili?.. mwenye taarifa plz atujuze
Wanachakachua kwanza! Ila naamini mungu yupamoja nasi tuvute subira
Total applicants waliomba compliance officer ni 7000 post ni 4 you better pray a lot kupata hii nafasi
Hapo bado memo za watoto wa mjomba na shangazi dah mungu tusaidie waja wako hali mbaya kwa kweli!
Raqeeb upo mshikaji wangu,vip majib ya DUCE?
Habari!
Nakumbuka zilitangazwa kazi kati ya mwezi machi na wa nne mwaka huu! yeyote aliye na taarifa za interview naomba atujuze..
asikuzingue huyo,LAPF makao makuu ni dodoma mtendeni street,hawajatoa bado ila sasahivi ndo wako wanapanga short list,waliioomba walikuwa ni wengi,bahasha za maombi zilikuwa takribani boksi12,....(from reliable source)siyaoni mkuu kama vipi tuwekee hapa
Lengo kuvutia wengi waje kusomaMbona kichwa na utumbo wa habari ni vitu tofauti?