Land Surveyor anahitajika haraka

Land Surveyor anahitajika haraka

Tunahitaji land surveyor wa haraka

uzoefu ni muhimu ana tuma CV info@lenjen.co.tz
hivi mnajielewa mnadhani land surveyor mwenye uzoefu ni kama vitumbua vya soko mjinga kana kwamba unaenda tuu kwa mama muuza unamwambia funga viwili....,jielezeni nyie ni akina nani,ofis zenu ziko wapi? na mnafanya nini na ikiwezekana mnalipa bei gani.eti tunahitaji land surveyor mwenye uzoefu tuma cv hapaa unafikiri wote wana njaaa pelekeni kule.
 
Samahani kaka naomba tuwasiliane kwa namba 0759717274; au fanya kunitumia namba yako
 
hivi mnajielewa mnadhani land surveyor mwenye uzoefu ni kama vitumbua vya soko mjinga kana kwamba unaenda tuu kwa mama muuza unamwambia funga viwili....,jielezeni nyie ni akina nani,ofis zenu ziko wapi? na mnafanya nini na ikiwezekana mnalipa bei gani.eti tunahitaji land surveyor mwenye uzoefu tuma cv hapaa unafikiri wote wana njaaa pelekeni kule.
Tunamshukuru mkuu kwa Maneno yako ila tulipata wenye uzoefu JF ni sehemu ya kila mtu hata wenye uzoefu humu wapo pia
 
Ma surveyor tupo mnataka uzoefu wa muda gani toeni maelezo yaliyojitosheleza yakitaja ni vigezo gani mnataka awe navyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom