Wa nyamadyaki
JF-Expert Member
- Mar 6, 2013
- 1,178
- 529
Engine ni zile za coaster cc 4500 kazi ni kwako !!
funguka kwanza ni model gani ya vx. kuna v8 petrol na V8 diesel kuna amazon inakula lita km 3 tu . kuna gx ya kawaida inakula lita km 8 specify engine na mwaka.
Vx ya model gan?,je ya super au diesel na pia ni v8 or ya kawaida?
Sijajua yako ni cc ngapi maana zipo hadi za cc 5700
Huwa ina matairi manne na moja la akiba huwa linafungwa nyuma ya gari.
Mengi huwa yana rangi nyeusi.
Mara nyingi huwa ni milango mitano.
Lina kioo kikubwa cha mbele.
Lina kelia kwa juu.
Mengi huwa yanasumbua sehemu ile ya kupachikia namba hasa kwa huku nchi za kiafrika.
Ila ni nzuri sana.
Mwambie akuletee tuu.
Ndugu nikwamba lazima unapokuja hapa kutaka ushahuri uje na details sisi hatuwezi kuota ukisema land cruiser zipo series nyingi za land cruiser
Kwanza ujue nini unahitaji uje hapa tutakupa jibu sasa mwingine anakuja na jibu la jumla eti inainjini ya costa sasa ukiambiwa hivyo unajua ni Land cruiser gani??Muulize nduguyo akupe series tutakupa details na picha tutakupa!!Karibu!