Lameck Airo apata mpinzani jimbo la Rorya

Lameck Airo apata mpinzani jimbo la Rorya

zamlock

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2010
Posts
3,840
Reaction score
660
Lameck Airo, mbunge wa Rorya atakuwa na Wakati mgumu sana kama UKAWA watampitisha kijana Onyango Otieno Dea. Kwa wanaomfahamu Mzee Dea bila shaka watakuwa wamepata picha juu ya huyu kijana.
 

Attachments

  • IMG-20150603-WA0001.jpg
    IMG-20150603-WA0001.jpg
    67.1 KB · Views: 2,033
Je Owawa?
Je Ndila?

Huyu kijana atampa wakati mgumu sana Lameck Kwa sababu Navy jua wajomba zake wataenda kumpigia kampeni ambao ni kisyeri Chambiri na mwenye kiti wa mkoa mstaafu enock Mwita Chambiri na ukizingatia raya ambaye ni mjumbe wa nec ni mpwa wake ameoa Mtoto wake sasa hapo kazi ipo.
 
Mkuu tafuta sehemu nyingi ya kupigia kampeni, hapa siyo sehemu yake. Chadema wako watangaza nia tisa, why yeye? Ngoja chama kichague then ndiyo ulete jina hapa.
 
Mimi nijuavyo lameck airo agombei tena ubunge Rorya.
this time rorya tunamuitaji MTU mchapa kazi,anae ibua kero za wananchi,sio MTU anaye tanguluza pesa mbele.
 
Mkuu tafuta sehemu nyingi ya kupigia kampeni, hapa siyo sehemu yake. Chadema wako watangaza nia tisa, why yeye? Ngoja chama kichague then ndiyo ulete jina hapa.
Mbona hasira sana sehemu ya kampen ni hapa mtu apimwe na wachangiaji au na wewe unalitaka jimbo? Jipambanue na wewe ufahamike muda ndiyo huu usisubiri mahali pakufanyia kampeni ikitokea chama kimempitisha Ndugu Lameck atakuwa na wakati mgumu
 
Mimi nijuavyo lameck airo agombei tena ubunge Rorya.
this time rorya tunamuitaji MTU mchapa kazi,anae ibua kero za wananchi,sio MTU anaye tanguluza pesa mbele.
Anagombea na mikakati imeshaanza kufanywa analitaka jimbo tena.
 
zamlock

Rorya hatutaki wajaluo, tunahitaji mkurya maana wajaruo mmeshidwa kutuletea maendeleo
 
Last edited by a moderator:
Huyu kijana atampa wakati mgumu sana Lameck Kwa sababu Navy jua wajomba zake wataenda kumpigia kampeni ambao ni kisyeri Chambiri na mwenye kiti wa mkoa mstaafu enock Mwita Chambiri na ukizingatia raya ambaye ni mjumbe wa nec ni mpwa wake ameoa Mtoto wake sasa hapo kazi ipo.
Ni mtoto wa nani, Nyamanche?
 
Wajaluo ukimtoa Mabere Marando aliyewahi kuwa Mbunge wa jimbo hilo...wengine wote wame-prove failure...kuanzia kwa profesa sarungi, na huyu darasa la 4 Airo...tatizo la watu wa Rorya wengi hawana elimu hivyo hawajitambua kifikra, kwa hiyo Airo akifika sehemu eg.

kwenye kitongoji Fulani anatoa msaada wa mabati au saruji au pesa hivyo wana-rorya kwa kuwa hawana elimu, wanampa kura....kutokana na hali hiyo sitegemei kuona mabadiliko hapo Rorya...mimi pia nyumbani ni Rorya hapo Nyamagaro, na nimesoma s/m Muharango na sekondari nimesoma Buturi..

ingawa kwa sasa nipo nje ya Rorya na Mkoa .kwa hiyo nasema kwa experience...vile vile tatizo linguine ni watu wa tarafa ya nyancha kutopendana kabisa...mgombea mjaluo akitaka kushinda ubunge basi huwa anashindia tarafa ya nyancha sio huko ujaluo...
 
zamlock

Usikurupuke huyu bilionea lakairo amesema hagombei tena ubunge anataka afanye mambo yake.
 
Last edited by a moderator:
kuna owawa,lakini kwa jimbo la rorya nilivyoangalia Airo atashinda anapendwa sana
 
.....hamjui nyie Airo ameaza kuandaa madiwani wa chama chake ambao amesema atahakikisha wanashinda na katika mpango huo wako na matajiri wale wanaoshinda tenda za halmashauri.

Mfano mzuri ni kuwa pale kata ya ikoma ameanza kumwandaa shemeji yake agombee but atashangaa wana ikoma kwasb huyu shemeji yake hatashinda.Diwani wa Ikoma ndg Lauren A.Adriano atahamiwa chadema but chadema kupitia ukawa tayari wameshamuandaa Andrew Kothnyidho kuchukua udiwani.

Airo atapata shida sb anacheza michezo hatari ya kugawa wanaccm kwa kuanzisha makundi maana hata hyuo diwani wa sasa wa Ikoma hawapatani chui na kondoo
 
.....hamjui nyie Airo ameaza kuandaa madiwani wa chama chake ambao amesema atahakikisha wanashinda na katika mpango huo wako na matajiri wale wanaoshinda tenda za halmashauri.

Mfano mzuri ni kuwa pale kata ya ikoma ameanza kumwandaa shemeji yake agombee but atashangaa wana ikoma kwasb huyu shemeji yake hatashinda.Diwani wa Ikoma ndg Lauren A.

Adriano atahamiwa chadema but chadema kupitia ukawa tayari wameshamuandaa Andrew Kothnyidho kuchukua udiwani.Airo atapata shida sb anacheza michezo hatari ya kugawa wanaccm kwa kuanzisha makundi maana hata hyuo diwani wa sasa wa Ikoma hawapatani chui na kondoo

Kuna watu hapa nilikuwa na waambia lameck anagombea awataki kunielewa eti Sijui chochote wakati data tunazo
 
zamlock

Takataka huyoo na chama chake cha kigaidii
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom