The wave
JF-Expert Member
- Feb 27, 2021
- 280
- 312
Wanajamii nimekuwa napita karibu kila siku barabara kuu ya Nyerere inayotoka Mwanza kuelekea Musoma. Ukifika eneo la Kisesa Isangijo kuna kiwanda kinachakata samaki.
Inasemekana mmiliki ni Lameck Airo aliyekuwa mbunge wa Lorya. Kiwanda hiki kinatiririsha maji machafu barabarani tena yanatoa harufu mbaya na kali. Kiasi kwamba hata wanaopita na magari huziba pua zao, ajabu si bwana afya au watu wa mazingira wamefuatilia suala hili.
Wanapita na kujifanya hawaoni sijui kuna nini, watu wanaendelea kuumia. Tafadhali NEMC fuatilieni hii issue msikae tuu ofisini na kupulizwa kiyoyozi.
Inasemekana mmiliki ni Lameck Airo aliyekuwa mbunge wa Lorya. Kiwanda hiki kinatiririsha maji machafu barabarani tena yanatoa harufu mbaya na kali. Kiasi kwamba hata wanaopita na magari huziba pua zao, ajabu si bwana afya au watu wa mazingira wamefuatilia suala hili.
Wanapita na kujifanya hawaoni sijui kuna nini, watu wanaendelea kuumia. Tafadhali NEMC fuatilieni hii issue msikae tuu ofisini na kupulizwa kiyoyozi.