above metal04
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 272
- 224
Chifu, kuna nchi katika dunia ya kwanza ukiwa kwenye highways sehemu nyingine hakuna speed limit. Haswa kwenye highways zenye lanes zaidi ya 2. Kunakuwa na lane ya limitless speeding.Hivi haya mazombie watu wanaendeshea wapi ?? Ama speed limits kwenye hizo nchi zitabadilishwa kuendana na top speed ya sports car ??
Hivi haya mazombie watu wanaendeshea wapi ?? Ama speed limits kwenye hizo nchi zitabadilishwa kuendana na top speed ya sports car ??
Ni sawa Chief pamoja na hilo kuwa na gari 0-100 inatumia 2.8 seconds ,hata kama hizo highways kuna sehemu hazina speed limit bado ni tatizo hiyo gari akiendesha kwa dakika tano si atakua amemaliza speed zote ?? Ni barabara gani itakua safe kiasi hicho hata kama limits hazipo ?? Labda kama hakuna limits kila baada ya km 700 kidogo nitakuelewaChifu, kuna nchi katika dunia ya kwanza ukiwa kwenye highways sehemu nyingine hakuna speed limit. Haswa kwenye highways zenye lanes zaidi ya 2. Kunakuwa na lane ya limitless speeding.
Hili swali lako sijui nikujibu nini ?? Ngoja nikuache tu usiniaharibie sikuKwa akili yako wewe ndiyo wa kwanza kuliona hilo na kwamba car industry yote hailijui hilo ila wewe tu!!!!!
Ni sawa Chief pamoja na hilo kuwa na gari 0-100 inatumia 2.8 seconds ,hata kama hizo highways kuna sehemu hazina speed limit bado ni tatizo hiyo gari akiendesha kwa dakika tano si atakua amemaliza speed zote ?? Ni barabara gani itakua safe kiasi hicho hata kama limits hazipo ?? Labda kama hakuna limits kila baada ya km 700 kidogo nitakuelewa
Chifu, kwa mfano Houston kuna highway ina lanes 10 kila upande. Miji mingi mikubwa Marekani, kukuta lanes 4-6 kila upande siyo ajabu...unaweza kutembea kwa saa zaidi ya 3 kwenye barabara yenye lanes 3 kila upande. Sasa kwenye barabara kama hizo kukiwa na lane moja ya limitless speeding kutakuwa na shida gani? Kumbuka hapo magari hayapishani...yote yanakuwa yanaelekea upande mmoja.Ni sawa Chief pamoja na hilo kuwa na gari 0-100 inatumia 2.8 seconds ,hata kama hizo highways kuna sehemu hazina speed limit bado ni tatizo hiyo gari akiendesha kwa dakika tano si atakua amemaliza speed zote ?? Ni barabara gani itakua safe kiasi hicho hata kama limits hazipo ?? Labda kama hakuna limits kila baada ya km 700 kidogo nitakuelewa
Nashukuru Mkuu japo sijalitazama hilo swala kwa picha ya highways za Tanzania ,moja kwanza hatuna vyombo vinavyo monitor speed limit ya magari zaidi ya trafiki wa kuchungulia na tochi badala ya cameras achilia mbali matuta ambayo ni shida kwa hizo sports car kutumia barabara kwa sababu zipo chiniChifu, kwa mfano Houston kuna highway ina lanes 10 kila upande. Miji mingi mikubwa Marekani, kukuta lanes 4-6 kila upande siyo ajabu...unaweza kutembea kwa saa zaidi ya 3 kwenye barabara yenye lanes 3 kila upande. Sasa kwenye barabara kama hizo kukiwa na lane moja ya limitless speeding kutakuwa na shida gani? Kumbuka hapo magari hayapishani...yote yanakuwa yanaelekea upande mmoja.
Ukiwa kwenye autobahn (highway) Ujerumani, nako ni limitless speeding. Ukilitazama hili suala kwa picha ya highways za Tanzania utaona kama ni fix.
Na kwa akili yako wewe uliyeshindwa kujua Mengi ana utajiri kiasi gani mpk umekimbia thread yako.Kwa akili yako wewe ndiyo wa kwanza kuliona hilo na kwamba car industry yote hailijui hilo ila wewe tu!!!!!
Na kwa akili yako wewe uliyeshindwa kujua Mengi ana utajiri kiasi gani mpk umekimbia thread yako.
Uko pembeni ya madaUko nje ya Mada!
Braza, it is all about flaunting wealthy. Hao wanaomiliki hivyo vyombo, wala hawawazi juu ya kuisha matairi. Sasa kama anaweza kununua gari ya zaidi ya 2 million £, hatawaza kweli tairi likiisha hata kila siku?Nashukuru Mkuu japo sijalitazama hilo swala kwa picha ya highways za Tanzania ,moja kwanza hatuna vyombo vinavyo monitor speed limit ya magari zaidi ya trafiki wa kuchungulia na tochi badala ya cameras achilia mbali matuta ambayo ni shida kwa hizo sports car kutumia barabara kwa sababu zipo chini
Pili hizi Highways wakati zinatengenezwa malengo yake ni nini ?? Malengo yake ni gari kukimbia top speed au speed ambayo most drivers could safely pilot their vehicles ??? Na malengo mengine pia
Highway correspond to the ability of a high percentage of the driving public au nimekosea ??
Well sawa kuna hizo lanes za limitless speed kama unavyosema ,how often utakutana na Lamborghini kama hiyo ambayo production unit ni 40 ama Buggati ambayo production unit yake ni 10 kwa mfano zikitumia lane hizo?? Ndio maana mimi naona ni useless tu kuwa na gari top speed 350
Na ukiwa kwenye hiyo top speed hilo gari unaweza kuli control kweli ? Wale jamaa Top gear walikua wana test Buggati walipo maliza test yao matairi yote yalikua yameisha ,whats the point of having such a Zombie ??
Njoo kwangu ulio au kama vipi kesho kaa Tazara ulione asubuhi nitapitanalo hapoKwa Tanzania kuna mtu ana gari kama hilo?
Sawa braza nashukuru kwa maelezo mazuri japo naamini kabisa kitu cha kwanza wanacho angalia ni usalama wa maisha ya mwenye gari ikiwa pia na usalama wa maisha ya wengine ,pamoja na gari lenyewe na miundo mbinu yote ,sasa ukimruhusu mwenye Ferari akimbie anavyotaka kisa tu yupo kwenye lane inayo ruhusu kukimbia ,endapo chochote kikatokea ,naamini basi atasababisha maafa makubwa sana kwa wenzie waliopo kwenye lanes za pembeni yake ,kama tairi zina worn out kwenye top speed hata usalama wa muhusika utakua mashakani gari linaweza kupinduka ,ndio maana highways nyingi zina speed limit ya 75Mph ama 85Mph ,ndio maana mimi sioni umuhimu wa hayo magari labda kama zitatumika kwenye races tena kwenye controled grounds ila kwa maisha ya mtaani ni anasa tu za matajiriBraza, it is all about flaunting wealthy. Hao wanaomiliki hivyo vyombo, wala hawawazi juu ya kuisha matairi. Sasa kama anaweza kununua gari ya zaidi ya 2 million £, hatawaza kweli tairi likiisha hata kila siku?
One more thing, hizo speed limitless lanes siyo kwa ajili ya fast cars kama Lambo, Ferrari, Porsche etc., hata ukiwa na not-so expensive fast cars kama Challenger, Corvette, Mustang, Nissan GTR, Camaro etc. unaweza kutumia hizo lanes. Siyo hizo tu, kwa gari nyingi za Marekani na Ulaya ambazo speed limit inaweza kwenda hadi 240, basi ukijiamini tu hata na Camry, wewe kanyaga mafuta na tumia hizo lanes.
Sawa braza nashukuru kwa maelezo mazuri japo naamini kabisa kitu cha kwanza wanacho angalia ni usalama wa maisha ya mwenye gari ikiwa pia na usalama wa maisha ya wengine ,pamoja na gari lenyewe na miundo mbinu yote ,sasa ukimruhusu mwenye Ferari akimbie anavyotaka kisa tu yupo kwenye lane inayo ruhusu kukimbia ,endapo chochote kikatokea ,naamini basi atasababisha maafa makubwa sana kwa wenzie waliopo kwenye lanes za pembeni yake ,kama tairi zina worn out kwenye top speed hata usalama wa muhusika utakua mashakani gari linaweza kupinduka ,ndio maana highways nyingi zina speed limit ya 75Mph ama 85Mph ,ndio maana mimi sioni umuhimu wa hayo magari labda kama zitatumika kwenye races tena kwenye controled grounds ila kwa maisha ya mtaani ni anasa tu za matajiri
Nb nilikua naongelea super cars zenye top speed ya kuanzia 350-420 achana na kina Mustang ama Nissan GTR