Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Vibaka wanne walikodiwa kumfanyizia kitu mbaya baunsa mmoja mwenye tabia ya kuchukua wake za watu.Walimvizia wakati akitoka matembezini mida ya saa 2 usiku,wakamkamata na kumburuzia vichakani.Walipojaribu kuitumia 'line yake ya tigo'kinguvu,yule baunsa alipigana nao na kuwaumiza vibaya sana.Wale vibaka hawakukata tamaa,walimkomalia mpaka wakamla 'tigo'.Kesho yake watu wakawa wanamuuliza kuhusu yeye kuliwa'tigo' aliwajibu;ndio ni kweli wamekula 'tigo' yangu lakini kwa taabu saana,nimewasumbua kinoma yaani mngewaona nilivyowaumiza!