yah ni kweli, Zanzibar ni mshirika muhimu wa huu muungano, bila Zanzibar hatuna Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, itabaki Jamhuri ya Tanganyika.
Nahisi ni vizuri chama kikuu cha upinzani (CDM) kiwatumie WaZanzibari ili tuweze kupata Katiba iliyo nzuri ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.