malisoka
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 1,860
- 2,638
Siku hizi kwa wanaume kila siku mara kunywa supu ya pweza, mara tafuta viagra au mara matikiti, matango, mihogo na sasa majongoo ya baharini. Yote hiyo ni kwa ajili ya wanaume kuhangaika kuwaridhisha kimapenzi wanawake.
Laiti kama wanawake wangekuwa wakikosa nguvu za kusex milango ya uke wao ingekuwa inajifunga na haifunguki kabisa isipokuwa kukojoa tu.
Nina amini hakuna kiumbe kingekuwa na dharau kama kina dada, Maana kwa kusema kweli kwa jinsi walivyokuwa na dharau kwa wanaume wenye shida ya nguvu za kiume hakika wengi wa wanawake wataumia sana.
Kwa maana ninaamini Wanawake wengi ni wachovu sana na wanashida hii ya kusex, na ukichukulia zaidi ya sex hawana kitu chochote cha maana wanachoweza kumpa mwanaume isipokuwa sex. (Janga litafumuka).
Nina hisi wivu wa wanawake na masumbuko yatakayokuwepo kwao tutalazimishwa na wanawake tungehamia kwenye midomo, masikio, pua nk.
Wanawake mtuheshimu na kutupenda katika shida na Raha. Sio mtu kaolewa kabisa anamtangazia mume wake ana kibamia ooooh mchovu yule, hana kitu nk.
Ninafikiri tu jamani hili la wanaume lingekuwa dhahili pia kwa wanawake kwa kujifunga sehemu zao ???????????????????
Laiti kama wanawake wangekuwa wakikosa nguvu za kusex milango ya uke wao ingekuwa inajifunga na haifunguki kabisa isipokuwa kukojoa tu.
Nina amini hakuna kiumbe kingekuwa na dharau kama kina dada, Maana kwa kusema kweli kwa jinsi walivyokuwa na dharau kwa wanaume wenye shida ya nguvu za kiume hakika wengi wa wanawake wataumia sana.
Kwa maana ninaamini Wanawake wengi ni wachovu sana na wanashida hii ya kusex, na ukichukulia zaidi ya sex hawana kitu chochote cha maana wanachoweza kumpa mwanaume isipokuwa sex. (Janga litafumuka).
Nina hisi wivu wa wanawake na masumbuko yatakayokuwepo kwao tutalazimishwa na wanawake tungehamia kwenye midomo, masikio, pua nk.
Wanawake mtuheshimu na kutupenda katika shida na Raha. Sio mtu kaolewa kabisa anamtangazia mume wake ana kibamia ooooh mchovu yule, hana kitu nk.
Ninafikiri tu jamani hili la wanaume lingekuwa dhahili pia kwa wanawake kwa kujifunga sehemu zao ???????????????????