Laiti JB, Kanumba, Wema na wengineo wangekuwa wanamtangaza Mungu! Tanzania ingepona

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,149
kwa mtitiriko wa hizi filamu kila kukichwa jamani wanaongeza nyingine
nimekaa nkasema laiti watu hawa wanaojazana kwenye hizi filamu
wangekaa na kuamua kumtumikia Mungu na kama umaarufu wao wanavyopendwa
natumaini laana hizi za tanzania zinazotiririka zisingekuwepo leo hiii

Embu wan filamu geukeni muwamue kumtumikia mungu hata kwa njia ya filamu
natumaini roho za wengi zitapona........na natumaini kwa tanzania inawezekana
 
kwa mtitiriko wa hizi filamu kila kukichwa jamani wanaongeza nyingine
nimekaa nkasema laiti watu hawa wanaojazana kwenye hizi filamu
wangekaa na kuamua kumtumikia Mungu na kama umaarufu wao wanavyopendwa
natumaini laana hizi za tanzania zinazotiririka zisingekuwepo leo hiii

Embu wan filamu geukeni muwamue kumtumikia mungu hata kwa njia ya filamu
natumaini roho za wengi zitapona........na natumaini kwa tanzania inawezekana

Mkuu kama yawezekana naomba contacts za Wema Sepetu na Aunt Ezekiel nataka cheza nao movie! Watalipwa vizuri....kulingangana na perfomance....LOL
 
natumaini utakuwa pastor kwenye movie
ntajitahidi nsaharudi porini mpwa
 
kwa mtitiriko wa hizi filamu kila kukichwa jamani wanaongeza nyingine
nimekaa nkasema laiti watu hawa wanaojazana kwenye hizi filamu
wangekaa na kuamua kumtumikia Mungu na kama umaarufu wao wanavyopendwa
natumaini laana hizi za tanzania zinazotiririka zisingekuwepo leo hiii

Embu wan filamu geukeni muwamue kumtumikia mungu hata kwa njia ya filamu
natumaini roho za wengi zitapona........na natumaini kwa tanzania inawezekana

Chakula alachomtu kinachangia kwa kiwango kikubwa ubora wa afya yake. Kadhalika roho ya mtu inastawishwa kulingana na aina ya chalula inacholishwa. What do yuo feed your heart!!! Kwa kile unachoona/ angalia, kile unachosoma na kile unachosikiliza. Iwapo wasanii ambao ni waelimishaji jamii wanapika aina fulani ya chakula na kulisha jamii, matokeo yake ni dhahiri. Kwa wasanii: mtu huyanena yale yaujazayo moyo wake, kwa mapishi yenu, mwalisha nini jamii. Nakubaliana na Pdidy.
 
Chakula alachomtu kinachangia kwa kiwango kikubwa ubora wa afya yake. Kadhalika roho ya mtu inastawishwa kulingana na aina ya chalula inacholishwa. What do yuo feed your heart!!! Kwa kile unachoona/ angalia, kile unachosoma na kile unachosikiliza. Iwapo wasanii ambao ni waelimishaji jamii wanapika aina fulani ya chakula na kulisha jamii, matokeo yake ni dhahiri. Kwa wasanii: mtu huyanena yale yaujazayo moyo wake, kwa mapishi yenu, mwalisha nini jamii. Nakubaliana na Pdidy.

kweli kabisa. umenana vyema.
 
Back
Top Bottom