Laini za wakala zauzwa

Laini za wakala zauzwa

Joined
May 28, 2015
Posts
6
Reaction score
0
Habar JF,

Naitwa Ibrah nipo Kibiti Rufiji nauza laini za Mpesa na Airtel money zote ni za wakala bei ni;
M pesa==250000
Airtel money=240000

Mawasiliano ni 0683708181
 
Habar JF naitwa Ibrah nipo kibiti rufiji...nauza laini za mpesa na airtel money zote ni za wakala.being ni
M pesa==250000
Airtel money=240000
Mawasiliano ni
0683708181
m-pesa :shock: airtel money:shock:!!!!?all ze best
 
juzijuzi nimenunua line ya airtel money 30'000 kutoka airtel shop na 170'000 ya m.pesa usibamize sana
 
ujue kama mtu huelew bora uulize kuliko kumharbia mtu biashara yake wabongo tukoj lakn kama huitaj ni bora ukae kimya hakuna line ya bure shop yoyote bila kwenda na mtaj wa mil moja ... unaenda na mtj wa mil moja ndo unapewa line ukiwa na tin no, lesen ya biashara , photocop na passport na una subr ndan ya mwez had mwezi na nusu ..

ingekuw bure si wote tungekuw nazo kama huna hela kaa kimya wengne watakuja ..achen kupotoshaaaa watu.
 
Hakuna bure siku hizi....
Tens unaweza peleka viambatanisho vyako then lain akapewa mwingine
Take care with your mouth
 
watu wanacomment without any analysis badenough sasa hawana infrmation ss wenyw wanasikia tu ... jamn wabongo doh
 
#57
Anaeitaj laini za Halopesa Mimi nakutengenezea na jina lako sharti lake uwe na kitambulisho tu Bei shilling Elf 30000 namba yangu ya simu 0659202222
 
ujue kama mtu huelew bora uulize kuliko kumharbia mtu biashara yake wabongo tukoj lakn kama huitaj ni bora ukae kimya hakuna line ya bure shop yoyote bila kwenda na mtaj wa mil moja ... unaenda na mtj wa mil moja ndo unapewa line ukiwa na tin no, lesen ya biashara , photocop na passport na una subr ndan ya mwez had mwezi na nusu ..

ingekuw bure si wote tungekuw nazo kama huna hela kaa kimya wengne watakuja ..achen kupotoshaaaa watu.
Mtaji laki 5 wewe

Membe Jr
 
Back
Top Bottom