johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,731
Wakuu naulizia nitapata wapi laini ya ttcl nitumie kwenye simu yangu ?napatikana kigamboni dar es salaam
Bosi unataka line ama unataka minara???Nataka ya kutumia kwenye simu. Simu yangu inasapoti 4g je huduma huku ipo.? Nmaanisha minara
mkuu laini bila minara itakuwa na faida gani?; OK nimeshanunua laini haifany kaz inaandika emergency calls only that means hakuna access yyte ya network nakushauri Kama we ni muhusika ttcl Fanya mpango mlete huduma kigamboni mtauza Sana Kama vp mtaendelea kuonekana shirika jipu.Bosi unataka line ama unataka minara???