Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,037
- 165,614
joto hasira...hahahahaha
Huyu Dada naye alishawahi kuwa mdau mkubwa wa katika hiyo media, na ndio iliyompa huo umaarufu alionao. Sasa kama kweli alikua anajua kua ubaguzi wa kupendelea nyimbo za wasanii waliopo ktk label ya Clouds kuwa inaua muziki wetu kwanini hakusema kipindi kile ambacho yeye alikua akipendelewa zaidi? Tofauti na hapo bado hajiamini kua anaweza kusimama bila hii media.
Wanasema ukipandishwa na wanadamu watakushusha Jide alishawishiwa na Clouda kuacha dini yake ili awe mwanamuziki na kweli umempaisha, anatakiwa alione hili amrudie Mungu ili ibilisi asiendelee kumtesa. Namuombe Mungu amfungue alipofungwa ili asidondoke na shetani ashindwe, maana kuwa na vita si jambo zuri sababu hata ukishinda una uhakika gani adui yako ataendelea kukuangalia ukineemeka?