zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Kwa haraka haraka niliyoyaona kwenye picha ya Marehemu.
1.Nguo zake zimejawa vumbi?
2.Pale chini zimeonekana damu?
3.kiti kimetumika sehemu ambayo haikuitaji kiti?
4.Urefu wa Marehemu na Kinyongeo havina uhusiano.?
5.Si haja kubwa wala ndogo iliyoonekana kwenye mwili wa marehemu?
6.Mwili wa Marehemu umeonekana kubonyea kidogo si kawaida kwa mtu anaejinyonga?
Mengine mtaongezea wadau,lakini hayo machache yananipa shida kuamini kama amejinyonga.
Ingawa mawazo yetu yamejikita kufikiria kuwa ameuwawa na wale aliowataja Kuwa ni Police ambao hushirikiana na Majambazi....
Mimi naamini kbs kama angekuwa na wazo la kujiua angejipiga Risasi,na kuondo wingu zito lili tawala kifo chake mpaka muda huu....
uchunguzi uanze kwa kuwakamata watajwa wa matendo maovu ndani ya jeshi la Police....
Over.
1.Nguo zake zimejawa vumbi?
2.Pale chini zimeonekana damu?
3.kiti kimetumika sehemu ambayo haikuitaji kiti?
4.Urefu wa Marehemu na Kinyongeo havina uhusiano.?
5.Si haja kubwa wala ndogo iliyoonekana kwenye mwili wa marehemu?
6.Mwili wa Marehemu umeonekana kubonyea kidogo si kawaida kwa mtu anaejinyonga?
Mengine mtaongezea wadau,lakini hayo machache yananipa shida kuamini kama amejinyonga.
Ingawa mawazo yetu yamejikita kufikiria kuwa ameuwawa na wale aliowataja Kuwa ni Police ambao hushirikiana na Majambazi....
Mimi naamini kbs kama angekuwa na wazo la kujiua angejipiga Risasi,na kuondo wingu zito lili tawala kifo chake mpaka muda huu....
uchunguzi uanze kwa kuwakamata watajwa wa matendo maovu ndani ya jeshi la Police....
Over.