Laana ya mapenzi

Laana ya mapenzi

ndorobo 2

Member
Joined
Jun 25, 2015
Posts
38
Reaction score
5
Wadau naomba mnisaidie.

Kuna ukweli wowote kuwa ukitoa bikra ya mwanamke unakuwa umeingia naye kwenye agano?

Na pindi utakapomuacha akawa anakulalamikia kuna laana yeyoyete inayoweza kukupata?
 
Sio kweli, mfano akikuacha Yeye laana itaenda kwa nani
 
Mkuu...ngoja nikulete kwenye dini...kaini alipomuua abili nduguye, damu ya nduguye iliyomwagika chini ili mlilia Mungu...kumbe damu ina uhai.....

Ukienda kwa waganga, ukitaka kufanikisha baadhi ya mambo yako watakwambia letu kuku ( hapa inahitajika damu ), au kama ishu yako ni kubwa, itasababisha kiwango cha damu kupanda kufikia hadi level ya mtu.... hapa kumbe damu ni uhai, maana ita ku connect moja kwa moja ktk ulimwengu wa kiroho ( rejea kwenye kuchanja chale)....

Wa anglican wana amini kumwagika kwa damu ya Yesu kumeleta upatano kati ya Mungu na mwanadamu...hapa pia tunaona damu ina uhai, maana imefanyika kama kiunganishi...

Kwa kumalizia, Jibu ni ndio....kutokana na sababu za hapo juu..yaani, kwa kumwaga damu ya mwanamke kwa kumtoa bikira, unakuwa moja kwa moja umeingia naye kwenye agano.
 
Yes hilo ni agano la damu kati ya mwanamke na mwanaume kwa Mungu. Mkiachana hamna budi kulivunja agano hilo ili Kila mtu awe free. Otherwise kwenye ulimwengu wa roho mtaendelea kuwa mume na mke. Afu wale walioolewa / waliowaoa inakuwa mnawaiba tu. Na hii inaweza kuwa na athari negative kwenye ndoa zenu pia kwa sababu mnaishi na partners ambao sio wenu. Hii ipo kiimani zaidi coz mnaweza mkaoana wote mabikra but mkawa na ndoa yenye shida pia
 
Back
Top Bottom