Kyela nakulilia sana

Kyela nakulilia sana

Na kweli huyo mheshimiwa wenu tangu aingie madarakani ni kubadilisha magari na michepuko usiku. mchana kwenye nyumba za ibada.
 
Kwetu ngonga...barabara anayopita Gen.Mwamunyange ni mbovu. Watu wanaboresha makazi yao tu lakini watu wanaowatumikia hakuna chochote. Nakumbuka mara yamwisho kutumia maji ya bomba nilikuwa Std 3 or 4, tangu hapo bomba zile za DANIDA zikagoma, tumetumia visima vya kupampu navyo vimebuma sasa. Wazaz na wajukuu zetu huko wanashea maji na vyura.
Nashauri bora tupate mbunge masikini kuliko maarufu au tajiri...wanajisahau mno.
 
Kwetu ngonga...barabara anayopita Gen.Mwamunyange ni mbovu. Watu wanaboresha makazi yao tu lakini watu wanaowatumikia hakuna chochote. Nakumbuka mara yamwisho kutumia maji ya bomba nilikuwa Std 3 or 4, tangu hapo bomba zile za DANIDA zikagoma, tumetumia visima vya kupampu navyo vimebuma sasa. Wazaz na wajukuu zetu huko wanashea maji na vyura.
Nashauri bora tupate mbunge masikini kuliko maarufu au tajiri...wanajisahau mno.

poleni sana wana KYELA .
 
Back
Top Bottom